CAG kutimua mbio kuikarabati Shycom

WAHITIMU waliosoma Chuo cha Ualimu Shinyanga (SHYCOM) akiwemo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), Charles Kichere wanatarajiwa kukimbia katika mbio za hisani maalumu kwa ajili ya kuchangia ukarabati wa miundombinu ya chuo hicho. Mbio hizo zinazojulikana kama Shycom Alumni Marathon zitafanyika Septemba 21, mkoani Shinyanga na CAG akaweka bayana kwamba atakimbia mbio za Kilomita…

Read More

INEC YAWATAKA WATENDAJI WA UBORESHAJI KUTUNZA VIFAA

Na Mwandishi wetu, Kigoma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetaka watendaji wakati wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura Mkoani Kigoma kuhakikisha wanatunza vifaa vya uandikishaji ili vikaweze kutumika maeneo mengine nchini. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegeke wakati akifungua…

Read More

Euro 2024 ni darasa kwa AFCON

ULAYA na dunia kwa sasa inashuhudia fainali za Kombe la Mataifa ya Ulaya ‘Uefa Euro 2024’ zinazoendelea Ujerumani zikishirikisha nchi 24 na sasa zimeingia raundi ya p[ili hatua ya makundi. Fainali hizi au European Championship Cup ni moja ya fainali kubwa duniani baada ya zile za Kombe la Dunia na zilianzishwa mwaka 1958, zikishirikisha mataifa…

Read More

RAIS SAMIA ASHUSHA NEEMA KYELA

Mkuu wa Wilaya ya Kyela Bi. Josephine Manase akifungua kikao cha kujadili utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyela tarehe 20 Juni 2024 Mkoani Mbeya. Wadau wa Sekta ya Ardhi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyela waliohudhuria Mkutano wa Wadau kujadili utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji…

Read More

WANANCHI WA TABORA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MASOKO YA MITAJI

NA: JOSEPHINE MAJULA, WF, TABORA Katibu Tawala Mkoa wa Tabora, Dkt. John Mboya amewataka Viongozi, Watumishi na Wananchi mkoani humo kuchangamkia fursa za uwekezaji katika Masoko ya Mitaji kwenye Taasisi rasmi zilizopewa dhamana na Serikali kufanya shughuli za uwekezaji kisheria ili kuweza kupata faida na kujikwamua kiuchumi. Dkt.Mboya, alitoa rai hiyo alipokutana na Timu ya…

Read More