Sakata la Mgunda Mashjaa, Singida BS bado kitendawili

LICHA ya Mashujaa kumtambulisha aliyekuwa mshambuliaji wa timu hiyo, Ismail Mgunda, kwa ajili ya kukichezea kikosi hicho msimu ujao, kumekuwa na sintofahamu baada ya kudaiwa pia nyota huyo amesaini mkataba na Singida Black Stars. Nyota huyo aliitumikia Mashujaa msimu wa 2024-25, kisha baadaye kuuzwa kwenda AS Vita Club ya DR Congo katika dirisha dogo la…

Read More

Sarafu mtandao zawaingiza matatani walimu wanne, mfanyabiashara

Dodoma. Walimu wanne na mfanyabiashara mmoja wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuwatapeli wananchi kwa kuwadanganya kuwekeza katika sarafu za kimtandao (cryptocurrency), kisha kutoweka na fedha walizowekeza. Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, ametoa taarifa leo Septemba 11, akieleza kuwa watuhumiwa walikamatwa Septemba 7, 2024, katika Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza kufuatia malalamiko…

Read More

KILICHOMPOZA MCHUNGAJI KIBOKO YA WACHAWI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni, amefichua sababu zilizomfanya serikali kumfukuza nchini mchungaji maarufu anayejulikana kama ‘Kiboko ya Wachawi.’ Kwa mujibu wa Masauni, mchungaji huyo aliondolewa nchini baada ya kukiuka sheria za usajili na kushiriki katika vitendo vilivyo kinyume na mafundisho ya dini. Waziri Masauni amesema kuwa ameshuhudia mchungaji huyo, ambaye kwa…

Read More

Tanzania Yatengeneza Biosensor ya Kwanza Afrika Mashariki kwa Ulinzi wa Wanyama Pori

Na Karama Kenyunko, Michuzi Tv IDARA ya Baolojia ya Molekyuli na baoteknolojia, kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) inahitaji taasisi au makampuni mbalimbali kutoka Tanzania na nje ya nchi ambayo wanaweza kushirikiana kutengeneza Chipu ya kihisio cha kibaolojia (Biosensor chips) itakayotumika kutambua au kujua uwepo wa virusi vinavyoshambulia wanyamapori kama simba, nyati na…

Read More