Tanzania yatoa maagizo kukabili mauaji ya albino

Dodoma. Wakati matukio ya ukatili dhidi ya watu wenye ualibino yakianza kuibuka nchini, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametaja mikakati na maagizo kwa vyombo vya usalama, viongozi wa Serikali, dini, waganga wa kienyeji, wazazi, walezi na wananchi kwa ujumla, ili kukomesha vitendo hivyo. Hatua hiyo imekuja kutokana na mauaji ya mtoto, Asimwe Novath (2) mwenye ualbino,…

Read More

BRELA YAWEKA WAZI VIWANGO VYA ADA USAJILI WA KAMPUNI

WAKALA wa wa Usajili wa Biashara na Leseni(BRELA) wamezitaja ada za usajili wa kampuni mpya ambapo gharama zake zinaanzia Sh.20,000, Sh.1000,000, Sh.5,000,000,Sh.20,000,000 mpaka Sh.50,000,000 na kwamba viwango hivyo ni kutokana na mtaji wa kampuni husika na kwa usajili wa kampuni za kigeni gharama za usajili ni Dola za Marekani 1,190,Filing fee ni Sh.66,000 na Stamp…

Read More

Mkosa: Ubora wa wachezaji umetubeba

TIMU ya kikapu ya Mkoa wa Kigoma ilianza vyema mashindano ya Kombe la Taifa kwa kuifunga Mkoa wa Dodoma kwa pointi 49-42, katika pambano kali lililopigwa kwenye viwanja vya Chinangali, mjini Dodoma, huku nyota wa timu hiyo Amin Mkosa akitamba ubora na uzoefu vimewabeba. Mashindano hayo ya Kombe la Taifa yanashirikisha timu 13 za wanaume…

Read More

Baada ya Korea Kaskazini, Putin atua Vietnam

Hanoi, Vietnam. Rais wa Russia, Vladimir Putin ametua nchini Vietnam na kukutana na Rais wa nchi hiyo katika mji wa Hanoi leo Alhamisi Juni 20, 2024 kwa ziara ya kiserikali. Putin amekaribishwa na Rais mpya wa Vietnam, To Lam katika Ikulu ya Hanoi ambapo atafanya mazungumzo na Rais huyo. Taarifa iliyochapishwa na Shirika la Habari…

Read More

Wanunuzi wa madini Songwe wampa tano Samia kupaisha sekta ya madini

WANUNUZI wa madini ya dhahabu mkoani Songwe wamempongeza Rais Samia SuluhuHassan kwa kufanya mapinduzi ya kiuchumi katika sekta hiyo kwa kuiwezesha kupaa maradufu kimapato ikilinganishwa na miaka iliyopita. Anaripoti Ibrahim Yaasin, Songwe… (endelea). Wakizungumza na MwanaHALISI jana Jumatano katika ofisi za madini zilizopo Mkwajuni wilayani Songwe, Mkurugenzi wa kampuni ya ununuzi wa madini, Mohammed Sharif…

Read More

Huu Mchezo wa Ruulette Kasino, Unalipa Sana

Kasino Imetawaliwa na michezo mingi, kuna mchezo waRoulette ambao Dkt Jerecki ndiye muanzilishi wa mchezohuo wa kasino ya mtandaoni, ambapo yeye binafsi alikuwaakifika kwenye jumba la kasino majokeri wenzakewanamkimbia kwa kuogopa kupunwa pesa zao. JisajiliMeridianbet ili na wewe uanze kuweka heshima kwenyekasino. Dkt Jerecki alifariki akiwa na miaka 80 na kwa namna yakipekee mchango wake…

Read More

Moro yatakata, Wanyeche moto gofu ya Alliance 

ILIKUSANYA zaidi ya wacheza gofu 150 kutoka vilabu vyote nchini, michuano ya mwaka huu ya Alliance iliyotamatika katika viwanja vya Gymkhana mjini Morogoro mwishoni mwa juma itabaki kuwa na historia nzuri ya ubora wa matokeo kwa msimu huu. Kwa mujibu wa Seif Mcharo, ambaye ni nahodha wa klabu ya gofu ya Morogoro Gymkhana, uitikio wa…

Read More

Tamil, Titans watoa visago kriketi ya T20

ILIKUWA ni  sikukuu ya Eid  njema kwa timu za Tamil Nadu na Patel Titans baada ya timu hizo kuwapa wapenzi wake zawadi njema ya ushindi mnono. Wakicheza katika uwanja wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,  Tamil Nadu  waliweza kuwabamiza Dar Tigers kwa wiketi 5 katika mchezo wa kricket wa ova 20 uliochezwa siku yakatika …

Read More