Vilio, simanzi vyatawala nyumbani kwa RAS Kilimanjaro

Moshi. Vilio na simanzi vimetawala nyumbani kwa aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Tixon Nzunda (56) aliyefariki kwa ajali ya gari yeye na dereva wake wakati mwili huo ulipowasili nyumbani kwake Shanty Town, Manispaa ya Moshi, mkoani humo, saa 4:50 asubuhi, ukitokea Hospitali ya KCMC ulikokuwa umehifadhiwa. Tixon yeye na dereva wake, Alphonce Edson…

Read More

Jesca, Egine watimkia Afrika Kusini kuzichapa

MABONDIA wa Ngumi za Kulipwa Tanzania, Jesca Mfinanga na Egine Kayange, wameondoka asubuhi ya leo kuelekea Afrika Kusini. Wakiwa Afrika Kusini, Jesca anatarajia kucheza pambano kuu la kuwania Mkanda wa Ubingwa wa Afrika dhidi ya Simangele Hadebe raia wa nchi hiyo. Kwa upande wa Egine, atapanda ulingoni katika pambano la utangulizi dhidi ya Monica Mukandla…

Read More

Wanahabari wakubaliana mambo sita, Waziri Nape atoa neno

Dar es Salaam. Hatima ya mabadiliko katika sekta ya habari, itaamuliwa na mageuzi kwenye maeneo sita, yaliyoazimiwa na wadau wa taaluma hiyo, baada ya kongamano la siku mbili. Wadau wa habari walikutana kuanzia Juni 18 hadi 19, 2024, kujadili mustakabali wa sekta ya habari na hivyo kuazimia mambo sita yanayotajwa kama msingi wa mabadiliko katika…

Read More

VIONGOZI WATEMBELEA BANDA LA MSD WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

Na Mwandishi Wetu VIONGOZI mbalimbali wa Serikali wametembelea Banda la MSD kwenye maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ambayo yanafanyika kitaifa mkoani Dodoma kuanzia tarehe 16 hadi 23 June, 2024. Miongoni mwa viongozi waliotembelea ni Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo George Simbachawene ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya…

Read More

WAZIRI SIMBACHAWENE ATEMBELEA BANDA LA OFISI YA RAIS,MIPANGO NA UWEKEZAJI MAONESHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

WAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene,akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Idara ya Uwekezaji Sekta Binafsi Bw.Aristides Mbwasi mara baada ya kutembelea Banda la Ofisi ya Rais,Mipango na Uwekezaji wakati wa Maonesho  ya Wiki ya Utumishi  wa Umma yanayofanyika  katika Viwanja vya Chinangali  jijini Dodoma. WAZIRI …

Read More

RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MWENYEKITI WA KAMATI YA ULINZI YA UAE IKULU ZANZIBAR

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi ya UAE.Mhe.Dr.Ali Rashid Alnuaimi alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 19-6-2024.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na…

Read More

BRELA YAANIKA MBINU ZA ‘WAJANJA WA MJINI’ WANAVYOPIGA PESA KWA MAJINA YA BIASHARA

Na Said Mwishehe, Michuzi TV-Morogoro WANAPIGA pesa kiulaini!Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea kuhusu baadhi ya watu ambao wamekuwa wakiingia katika mfumo wa mtandao wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni(BRELA) na kisha kusajili majina ya kampuni na biashara. Wajanja hao wanaojua vizuri faida za kusajili jina la biashara au kampuni wakishakamilisha sajili hizo wanasubiri kupiga…

Read More