NMB, IFC na Mastercard Waingia Makubaliano Kuboresha Upatikanaji wa Huduma za Kifedha kwa Wanawake Nchini.

Washington, DC, Marekani. Benki ya NMB imesaini makubaliano na Shirika la Kimataifa la Fedha (IFC) na Mastercard kuzindua Mradi wa Ushauri wa “Banking on Women Advisory Project,” ambao unalenga kuboresha masuluhisho ya kifedha kwa wanawake nchini Tanzania. Makubaliano hayo yamesainiwa siku ya Alhamisi, tarehe 24 Oktoba 2024, katika Mkutano wa Mwaka wa Shirika la IFC…

Read More

Tamisemi kutekeleza mambo 14 bajeti 2025/26

Dar es Salaam. Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imeomba kuidhinishiwa Sh11.78 trilioni kutekeleza vipaumbele 14 katika mwaka wa fedha 2025/26. Idadi hiyo ya vipaumbele vya mwaka huu ni mara mbili zaidi ya vile ilivyoahidi kuvitekeleza katika bajeti ya mwaka wa fedha 2024/25, kwa kiasi cha Sh10.1…

Read More

Arusha wakiwasha Lina PG Tour

WACHEZAJI wa Gofu wa Jiji la Arusha wameibuka vinara kwa kutwaa tuzo nyingi kwenye raundi ya tatu ya michuano ya Lina PG Tour kwa wa kulipwa na ridhaa. Elisante Lembris na Nuru Mollel walishika nafasi ya kwanza na ya pili mtawalia wakiwaacha wapinzani wao zaidi ya mikwaju 15. “Sikucheza vizuri katika raundi mbili za awali,…

Read More

PROF.MKENDA:”MIFUMO YA ELIMU NCHINI LAZIMA IBADILIKE KUENDANA NA KASI YA MABADILIKO DUNIANI”

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi, mifumo ya Elimu Nchini lazima ibadilike ili kufikia malengo kwa kuwapatia vijana ujuzi, maarifa na maadili kuwawezesha kustawi na kuhimili ushindani katika karne ya 21. Mkenda amesema hayo leo Agosti 15, 2024 wakati akifungua Mkutano wa Elimu wa Kikanda wa…

Read More

200,000 wajitokeza kuomba ajira 14,648 za ualimu

Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema usaili wa walioomba ajira kwenye kada ya ualimu utafanyika kuanzia Januari 14 hadi Februari 24 mwaka huu kwenye vituo vya usaili vilivyopo kwenye mikoa ambayo wasailiwa hao wanaishi. Simbachawene amesema nafasi za ualimu zilizotangazwa na Serikali ni 14,648 lakini…

Read More

Mwenyekiti wa mtaa apiga magoti kuwaomba msamaha wananchi

Mwanza. Katika hali isiyo ya kawaida, mwenyekiti wa Mtaa wa California uliopo katika kata ya Nyegezi jijini Mwanza, Fadhili Nassoro amewapigia magoti wakazi wa mtaa huo, akiwaomba msamaha kwa makosa aliyowafanyia kwa kujua ama kutojua wakati wa uongozi wake. Nassoro amechukua hatua hiyo Agosti 30, 2024 ikiwa imesalia miezi mitatu ya kukabidhi muhuri wa ofisi…

Read More