Kamatakamata ya ‘makahaba’ Dar yadaiwa kukiuka haki ya faragha

Dar es Salaam. Sakata la ukamataji wanawake wanaodaiwa kujihusisha na biashara ya ukahaba, limeibua mjadala kutoka kwa wanaharakati. Ukamataji huo pia unahusisha wanaume wanaokuwa na wanawake hao bila kujali kama wanahusika ama la. Hata hivyo, uchunguzi wa Mwananchi umebaini licha ya ukamataji kufanyika, bado hurejea katika maeneo hayo na kuendelea na shughuli zao kama kawaida….

Read More

WANA-GDSS WAJENGEWA UWEZO JUU YA ULINZI WA MTOTO KISHERIA, USAWA WA KIJINSIA NA NAMNA YA KURIPOTI TAARIFA ZA UVUNJWAJI WA HAKI ZA MTOTO

Na mwandishi wetu, Dar es Salaam Imeelezwa kuwa, Serikali kuu hutoa majukumu kwa serikali za mitaa katika kulinda na kutetea maslahi ya mtoto ili kuhakikisha kuwa analelewa katika mazingira stahiki na kwa maadili ya jamii. Vilevile maafisa ustawi wa jamii wana wajibu wa kushirikiana na serikali za mitaa kutoa ushauri na elimu kwa wazazi, walezi,…

Read More

Luis Miquissone atoa neno ‘Thank You’ ya Simba

Baada ya Simba SC kutangaza uamuzi wa kutoendelea na winga, Luis Miquissone, mchezaji huyo amevunja ukimya na kusema kitu juu ya uamuzi huo wa Msimbazi. Akiwa mubashara kupitia ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Instagram, Miquissone amekiri kufikia maamuzi hayo na Wekundu hao, huku akiwatuliza mashabiki wa Simba SCwaliokuwa wanahuzunishwa na hilo akisema ndio maisha…

Read More

Ujerumani yafuzu duru ya mtoano kombe la EURO – DW – 20.06.2024

Jamal Musiala alionyesha umahiri wake na kuwathibitishia wachezaji wenzake wanaofikiri mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 anaweza kufika mbali na kuwa miongoni mwa wachezji bora wa soka duniani. Musiala alitia kambani bao lake la pili kwenye mashindano hayo kuisadia Ujerumani kupata ushindi huo na kujikatia tiketi ya kusonga mbele. Kocha wa Ujerumani Julian Nagelsmann amesema…

Read More

TASAF YAJIVUNIA MABORESHO MAKUBWA KWA WANANCHI WALIOPITIWA NA MPANGO WA KUSAIDIA KAYA MASKINI

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkurugenzi wa mawasiliano na Mfumo wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), Japhet Boazi amesema kupitia mpango wa kusaidia kaya maskini wanajivunia maboresho makubwa kwa Wananchi waliopitiwa na mpango huo kwa hali zao kuboreka zaidi. Aidha Mkurugenzi huyo amesema Tasaf imekuwa ikisaidia kaya maskini kwa kuwapa mitaji na mafunzo mbalimbali…

Read More

Dili la Mganda wa Azam lipo, Medo sasa ni Kagera Sugar

HUENDA Azam ikaachana na mpango wa kumsajili nyota wa Vipers ya Uganda, Yunus Sentamu kwa ajili ya msimu ujao. Sentamu alikuwa katika mipango ya Azam msimu ujao, ingawa inaelezwa Kocha Mkuu, Youssouph Dabo amekuwa na imani kubwa na mshambuliaji mpya raia wa Colombia, Jhonier Blanco aliyefunga mabao 13, msimu uliopita akiwa na Fortaleza CEIF.  KLABU…

Read More

Samatta afunguka kinachomstaafisha Stars | Mwanaspoti

SIKU chache baada ya Mwanaspoti kuripoti nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta kuomba kustaafu mwenyewe ameibuka na kutaja sababu zilizomfanya afanye hivyo kuwa ni umri. Akizungumza na Mwanaspoti, Samatta amesema ni kweli ameliandikia barua Shirikisho la Soka Tanzania(TFF) kuomba kupumzika kuitumikia timu hiyo kutokana na kuona umri wake umeenda. “Ni kweli nimefanya hivyo umri unaenda…

Read More

Pamba yahamia kwa Josiah wa Biashara

KLABU ya Pamba imeanza mazungumzo ya kumpata Kocha wa Biashara United, Amani Josiah kwa ajili ya maboresho ya benchi la ufundi. Hatua hiyo inajiri baada ya Klabu hiyo iliyopanda Ligi Kuu Bara msimu ujao kumtangaza aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba na Tabora United Mserbia, Goran Kopunovic aliyechukua nafasi ya Mbwana Makata ambaye muda wowote atatua…

Read More