TANZANIA KINARA AFRIKA MASHARIKI UKOMAVU WA TEHAMA

Na. Vero Ignatus, Arusha. Mkutano wa tano wa serikali mtandao umefanyika Leo Jijini Arusha ambapo umewakutanisha Takriban wadau 1000 ambapo utafanyika kwa siku tatu, kuanzia kwa Leo 11februari-13 februari 2025 ukiwa na lengo la kujadiliana kuhusu hali ya utekelezaji wa Serikali Mtandao nchini Akifungua kikao kazi hicho Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango katika Kituo…

Read More

SERIKALI YAENDELEA KUTOA MAFUNZO KWA WALIMU 70,657 UTEKELEZAJI MITAALA ILIYOBORESHWA, YAANZA MAPITIO SHERIA YA ELIMU

Tarehe 1 Februari 2025 Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alizindua rasmi Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, Toleo la 2023 inayolenga kutoa elimu inayozingatia ujuzi kulingana na mahitaji ya soko la ajira na kuchangia katika maendeleo ya Taifa. Serikali imeendelea kutoa mafunzo kwa walimu ikiwemo utekelezaji…

Read More

CAMFED TANZANIA YASAIDIA WASICHANA 500,900 ELIMU SEKONDARI

SHIRIKA lisilo la kiserikali la ufadhili wa masomo kwa watoto wa kike wanaoishi katika mazingira magumu (CAMFED Tanzania) limesema kuwa hadi sasa limeshawasaidia wasichana 500,900 kupata Elimu ya Sekondari. Hayo yamesemwa leo Novemba 11, 2024 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Miradi na Ushirikiano kutoka Camfed Tanzania, Anna Sawaki katika mkutano Mkuu wa nne…

Read More

NCHIMBI AMALIZIA ‘KIPORO’ WAPINZANI MCHINGA

-Awapokea madiwani pekee wa CUF na ACT na wenzao mamia walioamua kujiunga CCM Katibu Mkuu wa CCM Taifa Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi leo Jumatano, 31 Julai 2024, akiwa mgeni rasmi kwenye Mkutano Mkuu wa Jimbo la Mchinga, kwa ajili ya kupokea taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020 – 2025, kutoka…

Read More

Hivi ndivyo Sweetbert Nkuba alivyojipanga kuiboresha TLS

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital MGOMBEA wa urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika(TLS),Sweetbert Nkuba ameelezea namna ambavyo amejipanga kuleta mabadiliko ndani ya chama hicho endapo atachaguliwa kushika nafasi hiyo. Moja ya mipango yake amesema ni kuboresha miundombinu ya TLS, uimarishaji wa miundombinu ya kisheria na kiteknolojia ili kuwezesha huduma bora kwa wanachama na jamii hususani…

Read More

WASIRA:KAMA HUJUI NCHI ILIKOTOKA USIBEZE MAENDELEO YALIYOFANYIKA

*Asema wanaosema hakuna kilichofanyika hawana tofauti na Kasuku Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Michuzi Blog MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema tangu kupata uhuru Tanzania imepata maendeleo makubwa na wanaosema hakuna kilichofanyika ni vema wakakaa kimya, wasiwe na tabia ya kasuku kukariri wasiyoyajua. Wasira ameyasema hayo leo Juni 17, 2025 alipokuwa akizingumza…

Read More

Tuhalalishe utamaduni wa urais CCM kukata mzizi wa fitina

Ni kweli uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan na Dk Hussein Mwinyi kupeperusha bendera ya CCM uchaguzi mkuu 2025 umeleta maneno ya chini kwa chini, lakini nadhani njia pekee ni kuhalalisha hicho kinachoitwa utamaduni. Ikiwa mwanachama hajaisoma vyema Katiba ya CCM na kuielewa na akauishi utamaduni wa CCM, kichwa kinaweza kumuuma na akadhani  wenye chao…

Read More

Cheki wababe wa ngumi wanavyoviziana mikanda

BONDIA Oleksandr Usyk ndiye mwamba kwa sasa kwenye ngumi za uzito wa juu duniani (heavyweight), kufuatia kushinda na kushikilia mikanda minne ambayo ni WBC, WBA, WBO na IBF. Mwamba huyo aliichukua mikanda hiyo mikononi mwa mabondia wa Uingereza, Anthony Joshua na Tyson Fury. Awali, alianza kwa kumvua mikanda mitatu Joshua ‘AJ’ kwenye mapambano mawili mtawalia…

Read More