Mbowe amtaja Ndesamburo uimara wa Chadema Kilimanjaro

Moshi. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amewataka wanachama wa chama hicho Mkoa wa Kilimanjaro kumuenzi mwanasiasa mkongwe mkoani humo, Philemon Ndesamburo kwa kuyaenzi mema aliyoyafanya ndani ya chama hicho. Amesema Ndesamburo alifanya kazi kubwa ya kimageuzi mkoani humo na maeneo mengine “na kwa heshima ya Mzee Ndesamburo lazima chama hiki…

Read More

Zao la kakao lilivyogeuka lulu kwa wananchi Kyela

Mbeya. Wakati wakulima wa kakao mkoani Mbeya wakichekelea bei nzuri ya zao hilo, Chama Kikuu cha Ushirika wilayani Kyela (Kyecu) kimesema hakijafikia kiwango cha uzalishaji kinacholengwa kutokana na mahitaji makubwa ya bidhaa hiyo duniani. Hii ni baada ya kuwapo kwa bei mpya ya kako inayoonekana kuchochea kilimo hicho ambacho kinatajwa kuwa cha kwanza wilayani Kyela…

Read More

Jaji Mkuu: Mapendekezo Tume ya Haki Jinai yafanyiwe kazi

Dar es Salaam. Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma amewataka viongozi wa taasisi za haki jinai kuwahimiza watendaji wao kuisoma taarifa ya Tume ya Haki Jinai ili kuboresha utendaji kazi wao wa kila siku. Julai mwaka 2023, Tume ya Haki Jinai iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan iliwasilisha ripoti yake yenye mapendekezo mbalimbali yanayolenga…

Read More

Bakhresa, MO, GSM wajitosa kuwekeza treni ya SGR

Dar es Salaam. Kampuni sita za Kitanzania ni miongoni mwa kampuni kadhaa ambazo zimeonyesha nia ya kushirikiana na serikali katika kuendesha Reli ya Standard Gauge (SGR). Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa kufuatia kutangazwa kwa Kanuni za Matumizi ya Miundombinu ya Reli kwa Watoa Huduma Binafsi za mwaka…

Read More