Sh13 bilioni kuendeleza mabonde ya mpunga Zanzibar

Unguja. Katika jitihada za kuhakikisha Zanzibar inajitegemea kwa chakula, umeandaliwa mradi wa kuendeleza mabonde ya mpunga ambao utatumia Dola za Marekani 5.153 milioni sawa na (Sh13.8 bilioni). Mradi huo wa msaada wa Maendeleo ya Kimataifa (Oda) unafadhiliwa na Serikali ya Korea kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, ambao utafanya kazi kwa…

Read More

Mastaa wanne wapishana Yanga | Mwanaspoti

KITAKWIMU ni rasmi kuwa, Yanga imeshafuzu Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao ikiwa imesaliwa na mechi nne mkononi. Hiyo imewapa kiburi cha kuanza harakati za kufumua kikosi na kupanga hesabu mpya tayari kwa michuano hiyo mikubwa inayotabiriwa kuwa na presha kubwa kwao msimu ujao. Mwanaspoti linajua, mastaa wanne wakiwamo viungo wawili Salum Abubakar ‘Sure Boy’…

Read More

RC Chalamila aonya wafanyabiashara kutojihusisha na migomo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amewataka wafanyabiashara kuepuka kushiriki kwenye masuala yanayoweza kuleta uvunjifu wa amani na kurudisha nyuma uchumi ikiwemo uvumi wa mgomo unaodaiwa kuanza kesho Jumatatu. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Amesema Serikali imekwishashughulikia baadhi ya changamoto na inaendelea kushughulikia changamoto za wafanyabiashara hususani zile zinazohusu mabadiliko ya kisheria….

Read More

Jiooooni sanaa, Straika refu lainusuru Simba Kigoma

USIMKATIE mtu tamaa, ndio maneno ambayo unaweza kuyatumia kwenye ushindi wa Simba ikiwa ugenini baada ya kuichapa Mashujaa kwa bao 1-0, ushindi ukipatikana sekunde za mwisho huku mfungaji akiwa yule aliyekuwa anadhaniwa hawezi kuisaidia. Simba ilipata bao hilo katika dakika ya saba kati ya sita zilizoongezwa na mwamuzi Omary Mdoe kutoka Tanga baada ya zile…

Read More

MIZANI 78 YAFUNGWA KUDHIBITI UZITO WA MAGARI

MKURUGENZI wa Idara ya Usalama na Mazingira Wizara ya Ujenzi Mhandisi Kashinde Musa, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Agosti 27,2024 kuhusu ushiriki wao kwenye wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani inayofanyika kitaifa jijini Dodoma. Meneja wa Mazingira na Jamii Wakala wa Barabara nchini Tanroad, Zafarani Madayi,akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ushiriki…

Read More

Dubois kumrudisha AJ kwa Tyson, Usyk

WIKIENDI iliyopita ulitokea msuguano mkali kati ya Anthony Joshua (AJ) na Daniel Dubois kiasi cha kutaka kuzichapa ‘kavukavu’ mbele ya wasimamizi wao, uliamsha hisia zaidi za pambano lijalo, Septemba 21, mwaka huu. Waingereza hao watapigana katika Uwanjani wa Wembley siku hiyo kuwania mkanda wa IBF ambao upo mikononi mwa Oleksandr Usyk ambaye imemlazimu auachie ushindaniwe…

Read More

RC BATILDA AWATAKA WANANCHI KUTUMIA HAKI YAO YA MSINGI KUSHIRIKI KWENYE UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA NOVEMBA 27,2024

Na Oscar Assenga, LUSHOTO. MKUU wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Burian amewahimiza wananchi katika maeneo mbalimbali mkoani humo kuhakikisha wanatimiza haki yao ya msingi kushiriki katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu. Aliyasema hayo wakati akihimitisha zoezi la kuwahamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura katika wilaya za Mkinga,…

Read More