TRA YAZINDUA BOTI YA DORIA ZIWA VICTORIA

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua Boti ya doria ambayo itatumika kupambana na magendo katika Ziwa Victoria na kukomesha vitendo vya ukwepaji kodi ambavyo vimekuwa vikifanywa na watu wasioitakia mema Taifa la Tanzania. Uzinduzi wa Boti hiyo ya Doria umefanywa na Naibu Waziri wa Fedha Mhe Hamad Chande mkoani Mwanza na kueleza kuwa ujio wa…

Read More

Jaji ataja sababu hukumu kesi ya Milembe kuahirishwa

Geita. Hukumu ya kesi ya mauaji ya Milembe Suleman iliyotarajiwa kutolewa leo, Agosti 26, 2024, imeahirishwa na sasa itasomwa kesho, Agosti 27, 2024, saa tatu asubuhi. Sababu zilizotajwa za kuahirishwa kwa hukumu hiyo ni urefu wa kesi, wingi wa mashahidi, pamoja na mchakato wa utafutaji wa haki kwa pande zote mbili. Jaji mfawidhi wa Mahakama…

Read More

Coastal UNION yamkomalia Lawi | Mwanaspoti

WAGOSI wa Kaya, Coastal Union imeendelea kuikazia Simba kwa kumng’ang’ania beki wa kati Lameck Lawi, ambaye hapo awali walikubaliana kumuuza kwa Wekundu hao kabla ya kubadili gia hewani. Lawi, mwenye mkataba wa mwaka mmoja na Coastal, alishatambulishwa na Simba baada ya kudaiwa kukubaliana na Wagosi pamoja na mchezaji mwenyewe, lakini kitendo cha mabosi wa Msimbazi…

Read More

Leseni za Madini zaidi ya 50,000 zatolewa

• Maeneo zaidi ya wachimbaji wadogo kutengwa TUME ya Madini imetoa jumla ya leseni za uchimbaji madini 54,626 katika kipindi cha miaka saba. Kaimu Mkurugenzi wa Leseni na Tehama Mhandisi Aziza Swedi amesema katika kipindi cha kuanzia 2018/2019 hadi Septemba 30, 2024, Tume ya Madini imetoa jumla ya leseni 54,626 kati ya leseni hizo, leseni…

Read More

Pikipiki kutumika kufuatilia maeneo yenye matishio kiafya

Dodoma. Maofisa 12 wa vituo vya ufuatiliaji wa magonjwa kwenye Mfumo wa Ufuatiliaji na Majibu ya Magonjwa (IDSR) wamepatiwa pikipiki. Hatua hiyo inalenga kuwawezesha kulinda jamii zinazoishi katika maeneo ambayo magari hayawezi kufika dhidi ya matishio ya kiafya. Mfumo wa IDSR unahusisha usimamizi wa taarifa kwa kutambua, kutoa taarifa, kupanga vipaumbele na kuthibitisha iwapo tukio…

Read More

TAMISEMI YAIBUKA BINGWA KUNDI LA WIZARA MTAMBUKA MAONESHO YA NANENANE 2024 – MWANAHARAKATI MZALENDO

TUZO YA TAMISEMI KAMA BINGWA WIZARA MTAMBUKA, NANENANE 2024. Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeibuka mshindi wa kwanza katika Kundi la Wizara Mtambuka katika maonesho ya Kitaifa ya Nanenane yaliyofanyika kwenye viwanja vya Nzuguni, Jijini Dodoma. Tuzo hiyo ya heshima ilitolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…

Read More

Mcameroon Pamba amtaja Che Malone

NYOTA mpya wa Pamba Jiji, Cherif Ibrahim, ameweka wazi namna alivyovutiwa na kujiunga na klabu hiyo baada ya kumtaja beki wa Simba, Che Malone Fondoh kama chanzo cha kumshawishi kukubali ofa aliyopewa na miamba hiyo ya Mwanza. Ibrahim ambaye amejiunga na Pamba Jiji kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo akitokea Coton Sport FC ya…

Read More

Nyota Coastal afichua siri yake na makocha

STRAIKA wa Coastal Union, Maabad Maulid amekiri kuanza kwa ugumu Ligi Kuu Bara msimu huu, huku akifichua siri ya kuaminiwa na makocha wanaotua kikosini humo na kutoa matumaini kwa mashabiki. Nyota huyo ambaye anaitumikia Coastal Union kwa msimu wa tatu sasa, anakumbukwa kwa rekodi nzuri aliyoiweka akiwa KVZ ya Zanzibar alipoibuka mfungaji bora wa ligi…

Read More