BRELA “unaweza kupata Leseni popote kikubwa mtandao”

Katika kuhakikisha wanaendelea kurahisisha utoaji huduma Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umesema kupitia mfumo wa kimtandao wa ORS unaoweza kupata huduma zao zikiwemo za kufanya sajili za kibiashara kama leseni ya kiwanda au kusajili ukiwa kokote kule hata kama utakuwa kitandani. Hayo yamesemwa na Endrew Mkapa ambaye ni Mkurugenzi wa Leseni kutoka…

Read More

Wabunge wapinga ongezeko la Sh382 bei ya gesi

Dodoma. Baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wameitaka Serikali kuondoa ongezeko la Sh382 kwenye bei ya gesi inayotumika kwenye magari badala yake iongeze vituo vya utoaji wa gesi na kuweka ruzuku kwenye vifaa vya matumizi ya gesi. Wamesema hayo wakichangia makadirio ya bajaeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025, ambapo…

Read More

Siku 14 nzito za Simba

KUNA kipindi kizito cha takribani siku 14 walichonacho Simba SC chini ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ambaye pia ni Rais wa Heshima wa klabu hiyo, Mohamed Dewji ‘Mo’. Simba SC ambayo hivi karibuni ilipata mtikisiko kidogo wa baadhi ya viongozi wake wa Bodi ya Wakurugenzi upande wa Mwekezaji kujiuzulu wote akiwemo Salim Abdallah ‘Tyr…

Read More

Hifadhi ya Mikumi Yatoa Madawati 213 shule za msingi 7.

Katika kuendelea Kuunga mkono juhudu za serikali Kwenye sekta ya elimu Hifadhi ya Taifa Mikumi imetoa msaada wa Madawati Kwenye Shule za msingi saba zinazozunguka Hifadhi hiyo kwenye kata za Mhenda,Ruhembe na Mikumi. Akizungunza katika hafla ya kukabidhi Madawati kaimu Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa Mikumi. Afisa mwandamizi wa uhifadhi Buka Alfred amesema wametoa madawati…

Read More