
DKT NCHEMBA AZITAKA MAMLAKA ZA SERIKALI NA WAWEKEZAJI KUTOKA SEKTA BINAFSI KUTUMIA FURSA ZILIZOPO KATIKA SHERIA YA PPP
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka Mamlaka za serikali pamoja na wawekezeji kutoka sekta binafsi kutumia fursa zilizopo katika sheria ya PPP kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo ili kuipunguzia serikali mzigo wa kibajeti. Ametoa kauli hiyo leo Agosti 31 ,2024 jijini Dodoma katika Mkutano wa mafunzo ya…