Dira ya 2050 ndani ya jicho la wadau wa elimu

Dar es Salaam. Wadau wa elimu nchini wameendelea kuitazama Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050 kwa jicho la matumaini makubwa, hasa katika nguzo ya pili inayohusu “Uwezo wa Watu na Maendeleo ya Jamii”. Kwa mujibu wa dira  hiyo, elimu ni injini kuu ya maendeleo ya watu na jamii, na hivyo uwekezaji wake unaelekezwa katika…

Read More

Mgambo watatu mbaroni kwa tuhuma za mauaji

Mwanza. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia askari mgambo watatu kwa tuhuma za mauaji ya Rashid Nyandonga (31), fundi simu na mkazi wa Bugando Jeshini, Wilaya ya Nyamagana mkoani humo. Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa, iliyotolewa leo, Jumapili, Machi 22, 2026, imeeleza kuwa mgambo hao walikamatwa usiku wa Machi…

Read More

Mbuni atwaa taji la ndege wa mwaka 2026 Tanzania

Arusha. Mbuni amechaguliwa kuwa ndege wa Mwaka 2026, baada ya kuibuka mshindi katika kura za kitaifa zilizoshirikisha wapenzi wa ndege nchini na kimataifa, akimrithi ‘kwezi maridadi’ (Superb Starling), aliyeshikilia taji hilo kwa mwaka 2025. Ndege huyo mkubwa zaidi duniani, ametwaa heshima hiyo baada ya kuwashinda washindani wake wanne maarufu wa uwanda wa nyasi katika kampeni…

Read More

Mafuriko ya Pakistan huacha vijiji vimekatwa wakati uharibifu wa monsoon unavyoendelea – maswala ya ulimwengu

Mawakala wa misaada wanaendelea kufanya kazi bila kuchoka kufikia maeneo magumu zaidi. Mamlaka ya Usimamizi wa Maafa ya Kitaifa (NDMA) ilisema karibu watu 800 wamekufa tangu mwishoni mwa Juni – karibu mara tatu wakati wa kipindi kama hicho mwaka jana. Mkoa wa Khyber Pakhtunkhwa umekuwa mgumu sana, ambapo mafuriko na maporomoko ya ardhi yalitoka nyumba…

Read More

WATAALAM WA USTAWI JAMII WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI

Na. OWM- KAM ‎Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Rahma Kisuo amewataka wataalamu na wadau wa Ustawi wa Jamii kufanya kazi kwa weledi, uadilifu katika utendaji kazi hususani kwa watoto na wananchi wanyonge. Ameyasema hayo Machi 24, 2026 Jijini Dodoma wakati alipofungua Kongamano na Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama…

Read More

Kanisa laingilia mvutano mazishi ya Rais Lungu

Lusaka. Zikiwa zimetimia siku 82 tangu Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu (68), afariki dunia, mvutano wa mazishi yake umewaibua viongozi wa dini ambao wametoa wito kwa Serikali kuanzisha majadiliano ya haraka na dhati kwa familia yake. Tangu kufariki dunia kwa Lungu, Juni 5, 2025 Serikali ya Zambia imeingia kwenye mvutano na familia kuhusu…

Read More

Nashon aichomoa Simba mkwanja wa maana

KIKOSI cha Simba jana kilikuwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo Mbweni, jijini, Dar es Salaam, kucheza dhidi ya TRA United, huku kiungo mpya wa timu hiyo, Kelvin Nashon, akiingiza zaidi ya Sh230 milioni, ili kukamilisha dili hilo. Mechi hiyo ya Ligi Kuu, ni ya raundi ya pili, baada ya ile ya kwanza iliyopangwa kufanyika…

Read More