WIZARA YA ARDHI YAPATA TUZO KUTOA WASHIRIKI WENGI MKUTANO WA TRAMPA 2025
……. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imepata tuzo kwa kuwa miongoni mwa Wizara zilizotoa washiriki wengi kwenye Mkutano Mkuu wa Chama cha Menejiment ya Kumbukumbu na Nyaraka (TRAMPA). Wizara ya Ardhi ilitoa watumishi 56 kushiriki mkutano huo wa kitaaluma uliofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Tuzo hiyo ilikabidhiwa…