Wakulima Wadogo wa Uganda Wakabiliana na Kanuni za EU kuhusu Mashamba ya Kahawa – Masuala ya Ulimwenguni

Peter Kibeti akiwa na mmea wa kahawa wa Arabica shambani kwake Bududa. Wakulima wanapaswa kuzingatia kanuni za Umoja wa Ulaya kuhusu ukataji miti na ajira kwa watoto ikiwa wataendelea kufanya biashara na soko hili muhimu. Credit:Wambi Michael/IPS by Wambi Michael (kigali) Ijumaa, Agosti 23, 2024 Inter Press Service KIGALI, Agosti 23 (IPS) – Katika kijiji…

Read More

WAFUNGWA 13 WAKIMBIA KITUO CHA POLISI, AKIHUSISHWA MSHUKIWA WA MAUAJI YA KWARE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kamanda wa Kaunti ya Nairobi, Adamson Bunge, ametangaza kuwa wafungwa 13, akiwemo mshukiwa wa mauaji ya Kware, Collins Jumaisi, wametoroka kutoka Kituo cha Polisi cha Gigiri. Bunge alitoa taarifa hiyo lakini hakutoa maelezo zaidi kuhusu tukio hilo la kushtua. Collins Jumaisi, ambaye amekuwa akihusishwa na sakata la miili iliyookotwa katika eneo la Kware, amekana kujihusisha…

Read More

Yanga ni Mokwena au Mfaransa

MABOSI wa Yanga, wameendelea kufanya yao kimyakimya katika mchakato wa kusaka kocha atakayepewa nafasi ya kuiongoza timu hiyo kwa msimu ujao huku zoezi hilo likichukua sura mpya baada ya kuamua kuliongeza jina la kocha mmoja kutoka nyumba ya vipaji raia wa Ufaransa. Yanga ipo katika mipango ya kutemana na Miloud Hamdi anayeionoa kwa sasa ambaye…

Read More

Tanzania yajipanga na ushuru mpya wa Trump

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imechukua hatua ya kulinda ukuaji wa uchumi ikiwa ni siku mbili baada ya Rais Marekani, Donald Trump kutangaza hali ya dharura ya kiuchumi nchini mwake iliyokwenda sambamba kuwekwa kwa ushuru wa angalau asilimia 10 kwa kila bidhaa inayoingia nchini humo. Katika tangazo lake Trump amesema kuanzia Aprili…

Read More