
Tanzania na Saudi Arabia kushirikiana katika sekta ya mafuta na gesi.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali ina nia ya kuimarisha miundombinu ya maghala ya kuhifadhia mafuta kwenye bandari za Tanga na Mtwara. Amesema hayo leo Juni 19, 2024 jijini Dodoma wakati akizungumza na Mbunge wa Bunge la Maldives, Mhe. Ibrahim Muhammad. “Kwa miaka miwili sasa Tanzania inashirikiana…