Samia: Mradi Liganga, Mchuchuma uanze

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara na ya Mipango na Uwekezaji kukamilisha mchakato wa kuipata kampuni itakayowezesha kuanza kwa mradi wa Liganga na Mchuchuma. Kuanza kwa mradi huo uliopo wilaya ya Ludewa mkoani Njombe haraka kunalenga kuwezesha upatikanaji wa malighafi kwa ajili ya kiwanda cha kuunganisha magari makubwa…

Read More

Barrick yaingiza Sh12 trilioni katika uchumi wa Tanzania

Bulyanhulu. Kampuni ya Barrick imewekeza Dola 4.79 bilioni za Marekani(Sh12 trilioni) katika uchumi wa Tanzania katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Barrick imeeleza hayo Jumatatu ya Julai 7, 2025 huku ikisisitiza dhamira yake ya kutoa thamani shirikishi na maendeleo ya muda mrefu nchini. Kwa mujibu wa Barrick kati ya kiwango hicho Dola 558 milioni  (Sh1.4…

Read More

Mkuu wa UN anataka amani na haki wakati Ramadhani inapoanza – maswala ya ulimwengu

“Katika mwezi huu mtakatifu, wacha sote tuinuliwe na maadili haya na tukumbatie ubinadamu wetu wa kawaida ili kujenga ulimwengu wa haki na amani kwa wote“Alisema katika ujumbe. Pia aliongeza ujumbe maalum wa msaada kwa wale wanaopata shida, uhamishaji na vurugu. “Ninasimama na wale wote wanaoteseka. Kutoka Gaza na mkoa mpana, hadi Sudani, Sahel na zaidi,“Alisema,…

Read More

Cheki ‘SUB’ ya kadi nyekundu kikapu

KATIKA kila mchezo kuna raha yake kwa mashabiki na hata wachezaji. Lakini, linapokuja suala la wachezaji kuingia mchezoni kutokea benchi (sub), kwenye kikapu kuna maajabu zaidi kwani mchezo yeyote anaweza kuingia uwanjani ili mradi tu awe katika benchi la nyota wa akiba. Kwenye soka na michezo mingine mingi, mchezaji anapopewa kadi nyekundu sheria za michezo…

Read More

Kiongozi wa Hezbollah aapa kulipa kisasi kwa Israel – DW – 20.09.2024

Hassan Nasrallah wakati wa hotuba yake ya Alhamisi aliapa kulipa kisasi na kuongeza mashambulizi dhidi ya Israel licha ya mashambulizi ya vifaa vya mawasiliano yaliyowalenga wanamgambo wake Juma hili. Nasrallah amesisitiza kuwa raia wa Israel waliolazimika kuyahama makazi yao karibu na mpaka wa Lebanon kutokana na mapigano, hawatarejea kwenye makazi yao hadi vita kwenye Ukanda…

Read More