Doa la CAG utoaji elimu bila malipo

Dar es Salaam. Ripoti ya ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, imebainisha kuwa jumla ya Sh1.25 bilioni za kugharimia elimu bila malipo, hazikufika kwa mamlaka husika. Katika ripoti hiyo iliyokabidhiwa kwa Bunge wiki iliyopita, jumla ya mamlaka 15 za serikali za mitaa hazikufikishiwa fedha kamili, hatua ambayo ripoti imetaja kuwa ina…

Read More

Ni Uchoyo, Ujinga! – Masuala ya Ulimwenguni

Shughuli za kibinadamu zimeharibu zaidi ya 70% ya ardhi ya Dunia, na tani bilioni 24 za udongo wenye rutuba hupotea kila mwaka. Inachukua hadi miaka 1,000 kutoa tu cm 2-3 ya udongo. Credit: Busani Bafana/IPS na Baher Kamal (madrid) Jumatano, Desemba 11, 2024 Inter Press Service MADRID, Desemba 11 (IPS) – Takwimu zilizopo zinajieleza yenyewe:…

Read More

Wengi huoa, kuolewa nje ya machaguo yao

Zungumza na wanandoa kadhaa uwaulize ikiwa wenza wao walikuwa machaguo ya kwanza maishani au la. Jibu linaweza kukushangaza. Uzoefu unaonyesha watu wengi huingia katika uhusiano wa kindoa kwa vile hawana namna,  baadhi wakichelea umri kusonga au kwa presha za ndugu na jamaa. Hawa hujikuta wakiingia kwenye uhusiano na yeyote yule. …

Read More

Diarra ashtua Yanga, Maxi, Chama majanga

YANGA imekuwa ikipitia kipindi kigumu kwa siku za karibuni baada ya kukosa matokeo mazuri kwenye mechi zake huku Ligi ya Mabingwa Afrika ikiburuza mkia Kundi A baada ya kukusanya pointi moja ikishuka dimbani mara tatu. Watetezi hao wa Ligi Kuu Bara na washindi mara nyingi wa taji hilo walilobeba mara 30, ukiachana na matokeo ya…

Read More

Bunge lifanye marekebisho haya kabla ya kuvunjwa

Leo naanza kwa kumpongeza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, kwa kutoa kauli ya wazi kuhusu mgawanyo wa madaraka baina ya mihimili mitatu ya dola. Bunge, Serikali na Mahakama. Katika kauli yake, Dk Tulia alieleza dhana muhimu ya mgawanyo wa madaraka na mfumo wa kuwekeana mizani na udhibiti wa…

Read More

NYIE! Jesca aongoza kwa asisti HUKO BDL

JESCA Lenga wa timu ya DB Troncatti anaongoza upande wa wanawake  kwa kutoa ‘asisti’ nyingi akifanya hivyo mara 193,  katika ligi ya kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Utoaji wa ‘asisti’ ni pale mchezaji anapotoa  pasi kwa mchezaji mwenzake na kisha mwenzake huyo akafunga pointi. Anayemfuatia ni Tukusubila Mwalusamba kutoka Tausi Royals aliyetoa asisti…

Read More

Mdogo wa Hans Poppe, mwanawe wajisalimisha mahakamani

Hatimaye, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Z.H.Poppe Limited, Caeser Hans Poppe na mwanawe Adam Caeser Hans Poppe, wamejisalimisha wenyewe Mahakama Kuu iliyopo katika Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki cha Masuala ya Familia (IJC Temeke). Hatua hiyo ya Caeser na Adam kujisalimisha wenyewe, Mahakamani hapo bila kukamatwa, inatokana na Mahakama hiyo kutoa amri ya kukamatwa kwa…

Read More