
NIA OVU YA KUMCHONGANISHA KIDATA NA MAMLAKA YA UTEUZI
Inatajwa kuwa tuhuma zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikimuhusisha Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Alphayo Kidata ni za kughushi, na zinazolenga kumchonganisha kiongozi huyo na mamlaka ya uteuzi ili aondolewe kwenye nafasi hiyo, na kutoa mianya kwa ‘genge’ la wakwepa kodi, wala rushwa na wote wasiolitakia mema Taifa ‘kuchomeka’ mtu wao Tumekuwa…