Mbowe kuongoza operesheni GF ya siku 21 Kanda ya Kaskazini

Arusha. Mwenyekiti wa  Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe  anatarajiwa kuongoza operesheni ya siku 21 ya kukijenga chama kuanzia ngazi ya chini maarufu “Grassroot Fortification (GF) itakayoanza Juni 22, 2024.  Operesheni hiyo inatarajiwa kufanyika katika majimbo 35 yaliyopo mikoa ya Kanda ya Kaskazini ambayo ni Arusha, Manyara, Tanga na Kilimanjaro. Akizungumza na…

Read More

TCB Yatangaza Ongezeko Kubwa la Mapato kwa Mwaka 2023

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Commercial Bank (TCB), Adam Mihayo amesema kuwa Benki hiyo imeshuhudia ongezeko kubwa la mapato ya jumla ya Sh Bilioni 19.27 sawa na asilimia 11.19 hadi kufika Sh Bilioni 19. 21, kwa mwaka 2023, ikilinganishwa na mwaka 2022 ambapo mapato yalikuwa Sh Bilioni 172.83 sawa na asilimia 1.72….

Read More

Mshtakiwa kesi ya Milembe akana maelezo, adai alipigwa

Geita. Upande wa utetezi katika kesi ya mauaji ya aliyekuwa mfanyakazi wa Kampuni ya Uchimbaji Dhahabu ya Geita (GGML), Milembe Suleman umeiomba Mahakama Kuu Kanda ya Geita kutopokea kielelezo cha shahidi wa 13 ambacho ni maelezo ya onyo ya mshtakiwa wa pili, Safari Lubingo. Pingamizi limetolewa na wakili wa utetezi, Laurent Bugoti anayemtetea Lubingo akidai…

Read More

Wadau wataja kasoro udhibiti mauaji ya albino

Dar/Kagera. Michakato ya kuelekea uchaguzi imehusishwa kama moja ya sababu za mauaji ya watu wenye ualbino, huku wadau wakitaja kasoro zilizopo katika kuyakabili matukio hayo. Miongoni mwa kasoro zilizoainishwa na wadau ni uwepo wa shughuli holela za uganga wa jadi na kukosekana mrejesho wa hatua zinazochukuliwa dhidi ya wanaohusika. Wadau watoa lawama kwa wananchi wakisema…

Read More

BONASI YA KASINO TSH 2,500,000/= INAKUSUBIRI LEO

UNAIJUA Bonasi ya Kasino wewe! Cheza shindano la Expanse kwenye kasino ya Meridianbet, na ushinde Mamilioni kila siku, jisajili na Mabingwa ili uwe bingwa. Michezo ya Kasino inaweza kukufanya uwe tajiri, ambapo Meridianbet watatoa bonasi za kasino kwa washindi 40 pekee, ambao watakuwa na alama nyingi kushinda wachezaji wengine, ili kuwa mshindi na upate Mgao…

Read More

Mchezaji wa zamani wa EPL Balotelli anaanza mchezo mpya huku akimtaja bingwa wa zamani wa UFC.

Mario Balotelli ameelekeza mkono wake kwa Muay Thai… na kumwita gwiji wa UFC Israel Adesanya. Mshambulizi huyo wa Kiitaliano, 33, ametumia msimu huu nchini Uturuki akiichezea Adana Demirspor.Alifunga mabao saba katika mechi 16 alizoichezea klabu hiyo wakati wa kampeni ambayo ilimfanya kukosa miezi miwili kutokana na jeraha la goti. Sasa anafurahia muda kidogo wakati michuano…

Read More

Serikali yabanwa utekelezaji mkakati wa kupunguza matumizi

Dodoma. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imeitaka Serikali kutekeleza mkakati wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima baada uchambuzi wake kubaini hautekelezwi ipasavyo. Mwenyekiti wa kamati hiyo, Oran Njeza amesema hayo leo Jumanne Juni 18, 2024 alipotoa maoni ya kamati kuhusu tathimini ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2023, Mpango wa Maendeleo…

Read More