
WAZIRI MAVUNDE ATAKA WATANZANIA KUPEWA KIPAUMBELE KUSAMBAZA BIDHAA NA HUDUMA MIGODINI
▪️Aelekeza mabadiliko ya Kanuni ili kuruhusu uhaulishwaji teknolojia kwa Kampuni za Kigeni ▪️Ataka Watanzania kuchangamkia Trilioni 5.3 za usambazaji bidhaa na utoaji huduma ▪️Rais Samia apongezwa kwa uongozi wa maono ▪️Watanzania 19,371 wanufaika na ajira rasmi ▪️Kamati ya Bunge yaipongeza Wizara kwa ukuaji wa sekta Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde ameitaka Tume ya Madini…