CCM Igunga wanolewa kuhusu sheria usalama barabarani

Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Igunga mkoani Tabora, waliogawiwa pikipiki kwa ajili ya shughuli za chama wilayani humo, wametakiwa kufuata sheria za usalama barabarani ili waepuke ajali za barabarani. Anaripoti Victor Makinda, Tabora … (endelea). Hayo yameelezwa mjini Igunga na Askari wa  kikosi cha usalama barabarani, Koplo Josiah, wakati akitoa mafunzo ya…

Read More

Kigamboni bado wana kiu ya maji ‘matamu’

Dar es Salaam. Wakati Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) ikisema imefikisha maji eneo la Kigamboni, baadhi ya wananchi wamesema maji hayo hayafai kunywa, kwa kuwa yana chumvi. Hata hivyo, Dawasa imesema ladha ya maji inategemea miamba yanakopatikana, lakini maji ya Kigamboni yamepimwa na yana viwango vinavyokubalika. Kwa mujibu wa…

Read More

Miaka 130 ya Olimpiki Morogoro

Wanamichezo mbalimbali nchini watashiriki mbio za kilomita 2.5 na kilomita 5 zitakazoanzia kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro kuadhimisha miaka 130 ya Olimpiki. Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa (IOC) ilianzishwa mwaka 1894 na mwaka huu nchi mwanachama zinaadhimisha miaka 130, ambapo Tanzania katika siku hiyoya Olimpiki Jumapili ijayo itaadhimishwa kwa mbio hizo. Akizungumza wakati wa…

Read More

Mkurugenzi Mkuu wa UDART ataka kuboreshwa kwa mfumo mzima wa huduma za usafiri wa katika vituo vya BRT

Mkurugenzi Mkuu wa UDART,  Waziri Kindamba leo tarehe 18/06/2024 alifanya  ziara na kutembelea vituo vya huduma za Usafiri zinzotolewa na UDART, hii ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa majukumu na kutaka kujikita zaidi katika maboresho ya huduma za usafiri zinazotolewa na Kampuni ya Mabasi yaendayo haraka UDART. Mkurugenzi Mkuu,  Waziri Kindamba, alianza ziara yake kwa…

Read More

Nanyaro aokoa wanafunzi kutembea kilomita 3 kuchota maji

MDAU wa maendeleo mkoani Songwe, Ombeni Nanyaro amechangia kiasi cha Sh. milioni moja kwa ajili ya kuunganisha maji na kukarabati bweni la wanafunzi wa shule ya sekondari Kamsamba wilayani Momba mkoani Songwe. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe… (endelea). Nanyaro ametoa kiasi hicho cha fedha baada ya kutembelea shule hiyo inayomilikiwa na jumuiya ya wazazi (CCM) na…

Read More

RAS Kilimanjaro afariki dunia kwa ajali 

Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro, Tixon Nzunda amefariki dunia katika ajali eneo la Njiapanda ya KIA, Wilaya ya Hai,  akiwa ziarani mkoani humo. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo akisema imetokea saa nane mchana leo Jumanne Juni 18, 2024. “Ni kweli wakati anatoka KIA amepata ajali mbaya sana, ndio…

Read More

MAKAMU WA RAIS DK.MPANGO AKUTANA NA MKURUGENZI MTENDAJI TAASISI YA KIMATAIFA YA UWEKEZAJI YA UINGEREZA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Kimataifa ya Uwekezaji ya Uingereza (BII) Nick O’Donohoe na ujumbe wake, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu, Dodoma. Katika Mazungumzo hayo, Makamu wa Rais ameipongeza Taasisi hiyo kwa kuendelea kuwekeza nchini tangu mwaka 1949 katika…

Read More