Majaliwa ataka jamii za kifugaji kutotumikisha watoto

Mwanga. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amezitaka jamii za kifugaji kuhakikisha zinawapeleka watoto shule na kuacha tabia ya kuwatumikisha kuchunga mifugo. Amesema Serikali imeweka mazingira wezeshi ya upatikanaji wa elimu nchini ili kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania anapata elimu bora. Majaliwa ameyasema hayo leo Jumanne Machi 25, 2025 wakati akizungumza…

Read More

Bibi  wa miaka 77 auawa kwa kukatwa shingo

Moshi. Mkazi wa Kijiji cha Nakombila, Kata ya Kimochi, Wilaya ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro, Jenny Mtesha (77) ameuawa kwa kukatwa shingo kwa mundu na mtu anayedaiwa kuwa ni mjukuu wake (Jina tunalihifadhi) aliyetaka kumpora bibi huyo  Sh 240, 000. Inadaiwa kuwa, tukio hilo lilitokea Juni 3, 2024  baada ya  bibi huyo kutoka sokoni, kisha mtuhumiwa …

Read More

Bondia afariki baada ya kupigwa ulingoni

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mgaya, amefariki dunia usiku huu muda mchache baada ya kupewa rufaa ya kupelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kutoka Hospitali ya Mwananyamala. Kifo cha bondia huyo kimetokea baada ya juzi Jumamosi Desemba 27, 2024 kupigwa katika pambano lililofanyika kwenye Ukumbi wa Dunia Ndogo, Tandale jijini Dar es Salaam….

Read More

SERIKALI KUNUNUA TANI LAKI 2 ZA MBOLEA VIWANDA VYA NDANI.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Waziri wa Kilimo Mhe Hussein Bashe amesema katika kuhakikisha wanalinda viwanda vya ndani Serikali imejipanga kununua mbolea tani laki 2 katika viwanda vya ndani na tani elfu 50 za chokaa kwaajili ya kuboresha shughuli za kilimo. Waziri Bashe ameyasema hayo Jijini Dodoma Juni wakati akitoa taarifa juu ya Uzinduzi rasmi…

Read More

Gari la mbunge lataifishwa, wahamiaji haramu watupwa jela

Moshi. Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na Mahakama ya Wilaya ya Moshi, zimeamuru kutaifishwa magari mawili yaliyokamatwa yakiwasafirisha wahamiaji haramu 12 raia wa Ethiopia, likiwamo linalodaiwa kumilikiwa na mbunge. Mbali na kutaifishwa kwa magari hayo kuwa mali ya Serikali ya Tanzania, mahakama zimewahukumu wahamiaji hao kulipa faini ya Sh500,000 kila mmoja au kutumikia kifungo cha…

Read More

Yajue mambo hatari kwa afya ya ubongo

Dar es Salaam. Ubongo ni kati ya viungo muhimu katika mwili wa binadamu, ni chanzo kikuu cha kudhibiti mifumo yote ya mwili. Wataalamu wa afya wamekuwa wakisisitiza juu ya umuhimu wa kulinda afya ya ubongo ili viungo vingine katika mwili wa binadamu viweze kufanya kazi vizuri. Hata hivyo, kutokana na tabia pamoja na mambo mbalimbali…

Read More

WANAWAKE WASILAZIMISHWE VITI MAALUM – TGNP

Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) Lilian Liundi Na Deogratius Koyanga, Dar es salaam MAKATIBU wa Vyama vya siasa nchini wametakiwa kutokuwalazimisha wanawake wanaotarajia kugombea uongozi wa serikali za Mitaa kuchukua fomu za ujumbe wa Viti maalum, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kwamba wanagombea nafasi za uenyekiti wa mitaa au vijiji. Hayo yamesemwa…

Read More