Tanzania yazindua ujenzi majengo pacha Nairobi

Nairobi. Serikali imezindua ujenzi wa majengo pacha ya ghorofa 22 kila moja jijini Nairobi, Kenya, yatakayotumika kama Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini humo na kitega uchumi kwa ajili ya kuongeza fedha za kigeni. Kwa sasa, Tanzania inatumia Sh29 bilioni kwa mwaka kulipia kodi kwa ajili ya balozi na makazi ya watumishi wake wanaofanya kazi…

Read More

NEWZ ALERT : RAS KILIMANJARO AFARIKI DUNIA KWA AJALI.

NA WILLIUM PAUL, HAI. KATIBU Tawala Mkoa wa Kilimanjaro, Tixon Nzunda amefariki Dunia katika ajali ambayo imetokea eneo la Njia panda ya KIA, Wilaya ya Hai, akiwa kwenye ziara Mkoani humo. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo leo na kwamba ajali hiyo imetokea muda wa saa 8 kuelekea saa…

Read More

Auawa kwa madai ya kuhoji ‘kwa nini unamwaga bia’

Rombo. Kijana, Erasmi  Johnbosco (23),  Mkazi wa kitongoji cha Moru, Kijiji cha Lessoroma, Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro anadaiwa kuuawa kwa kuchomwa na kisu sehemu ya kifuani na kijana  mwenzake baada ya kumhoji ni kwanini amemwaga bia ya  Sh1,800 wakati wenzake wana kiu ya kinywaji hicho. Tukio hilo, lilitokea jana Juni 17, 2024 ,muda wa…

Read More

RAIS SAMIA I LOVE YOU HALAFU NAKUPENDA

Na Said Mwishehe, Michuzi TV  KUNA mambo lazima tuzungumze japo kwa lugha yoyote ambayo unaweza kuitumia lakini ikasaidia kufikisha ujumbe kwa uliowakusudia na hasa Watanzania wenzangu. Leo kuna jambo nataka kulisema,kulizungumza,kuna jambo nataka kulisimulia.Nikuombe kama uko tayari usome kuanzia mwanzo mpaka mwisho, kama unadhani hutaweza ni bora usisome. Kwanza sijakuandikia wewe.Iloooo. Sasa ndugu yangu, rafiki…

Read More

UBISHI WA MZEE WA KALIUWA: Usiingilie ugomvi wa Mo na Simba!

HUU ni ushauri ambao mara nyingi hutolewa kwa wapenzi. Tunaambiwa tusiingilie mahusiano ya watu. Tusiwe washauri sana kwenye ndoa ya Mwekazaji Mohammed Dewji ‘Mo’na Simba. Wanapendana, wamedumu miaka mingi, hivyo wanajuana mapungufu yao. Wapambe tushike jembe tukalime. Chanzo cha vuta nikuvute Simba hivi karibuni, kwa kiasi kikubwa ni mwenendo mbaya wa timu. Kushindwa kutamba ndani…

Read More

Korti Kenya zasitisha huduma kumuomboleza hakimu aliyeuawa – DW – 18.06.2024

Bendera ya idara hiyo inapepea nusu mlingoti hadi marehemu atakapozikwa. Mahakimu na majaji wanaandamana kwa amani kupinga ukosefu wa usalama kwenye sehemu zao za kazi. Maafisa wa ngazi ya juu walikusanyika kwenye mahakama ya Milimani jijini Nairobi kumuenzi na kumuomboleza hakimu mkuu Monica Kivuti aliyeuawa Alhamisi iliyopita. Maombolezi ya leo yanaongozwa na Jaji Mkuu Martha…

Read More