Mbunge alia akielezea mauaji ya albino

Dodoma. Siku moja baada ya mwili wa mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath (2), kupatikana ukiwa umenyofolewa baadhi ya viungo, Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Khadija Taya maarufu Keysha amelia bungeni wakati akiomba mwongozo wa Spika wa Bunge akitaka lijadili usalama wa albino wakati huu wa kuelekea uchaguzi. Hojan ya Keysha imetokana na kile alichodai kuwa…

Read More

Meneja wa Ariana Grande ,Justin Bieber,Scooter Braun atangaza kujiondoa kwenye tasnia ya muziki

Bingwa wa tasnia ya muziki nchini Marekani Scooter Braun ametangaza kustaafu  biashara ya usimamizi wa muziki. Meneja huyo wa zamani mwenye umri wa miaka 42, ambaye amehusishwa na wasanii walioorodheshwa kama vile Justin Bieber, Ariana Grande, na Demi Lovato miongoni mwa wengine, anatazamia kuzingatia zaidi jukumu lake la sasa kama Mkurugenzi Mtendaji wa HYBE America,…

Read More

Spika amkalia kooni Mpina | Mwananchi

Dodoma. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amempeleka Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina katika Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kosa la kumdharau yeye na Bunge. Juni 4, 2024 wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka 2024, Mpina alitoa…

Read More

Celtics bingwa, rekodi tamu NBA

Boston Celtics ya Ukanda wa Mashariki imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya NBA, baada ya ushindi wa vikapu 106-88 dhidi ya Dallas Mavericks ya Magharibi, juzi Jumanne. Ushindi huo umefanya matokeo ya jumla kuwa 4-1 baada ya mechi tano za katika fainali hiyo, tofauti na wengi walioamini itafikisha mechi saba kupata bingwa. Awali Jayson Tatum…

Read More

Msako mkubwa zaidi nchini Ujerumani wanasa dawa za kulevya zenye thamani ya dola bilioni 2.78

Mamlaka nchini Ujerumani ilitangaza Jumatatu (Juni 17) kwamba walinasa thamani ya euro bilioni 2.6 (dola bilioni 2.78) kutoka kwenye meli kadhaa na kontena na kuwakamata watu saba katika kile walichokiita msako wa kokeini kubwa kuwahi kupatikana nchini humo. Ripoti ya shirika la habari la Associated Press ilisema kuwa waendesha mashtaka huko Duesseldorf walisema walikamata tani…

Read More

Moto waua wagonjwa tisa waliokuwa ICU Iran

Tehran. Wagonjwa tisa wamethibitishwa kufariki dunia leo Jumanne Juni 18,2024 kufuatia moto kuzuka Hospitali ya Ghaem iliyopo mji wa Rasht Kaskazini mwa Iran. Vyombo vya habari vya Serikali vimeripoti. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la AFP, moto huo ulizuka kuanzia saa nne usiku wa kuamkia leo na kusababisha maafa hayo. Taarifa zinasema moto huo ulifanikiwa…

Read More

BRELA YAWANOA WAANDISHI WA HABARI,KUANZA KUTOA TUZO

Na Said Mwishehe,Michuzi TV – Morogoro  WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni(BRELA) wataanza kutoa tuzo Maalum kwa waandishi wa habari za biashara ambao watakuwa wakiandika makala zenye matokeo chanya kwa jamii lakini makala ambazo zitakuwa zimejitosheleza.   Ameyasema hayo leo Juni 18, 2024 jijini Morogoro,Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na…

Read More

Bila Miti Hakuna Dunia: Kampeni ya “Miti kwa Umri” Inavyohamasisha Upandaji Miti

Na Faraja Masinde, Pwani Katika kuhakikisha Taifa linakabiliana na mabadiliko ya Tabianchi Watanzania wametakiwa kupanda miti kwa wingi hasa wanaposherehekea siku zao za kuzaliwa. Hayo yamesemwa na Brigedia Jenerali Mstaafu Martin Amos Kemwaga, ambaye pia ni Mkurugenzi wa MAKMar Hoteli iliyopo katika Kata ya Msata Wilayani ya Bagamoyo mkoani Pwani na mwasisi wa kampeni ya “MITI KWA…

Read More