Hamas yawaachia huru wanajeshi wanne wa Israel, Wapalestina 200 pia kuachiwa

Gaza. Israel imethibitisha kuwapokea wanajeshi wake wanne waliokuwa wakishikiliwa mateka na kundi la Hamas eneo la Gaza kwa zaidi ya mwaka mmoja. Katika makubaliano hayo, raia 200 wa Palestina waliofungwa kwenye magereza mbalimbali nchini Israel pia wameachiwa huru kutoka katika magereza hayo. Wafungwa hao wameachiwa kufuatia makubaliano ya kusitishwa mapigano hayo kutamka kuwa Israel itawaachia…

Read More

Wasira: Tuchague watu wanaokubalika, wasiwe wapenda rushwa

Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amewatahadharisha wanachama wa chama hicho kuchagua watu wanaokubalika lakini wasiwe wapenda rushwa. Wasira ametoa tahadhari hiyo jijini Dodoma leo Jumanne, Februari 4, 2025 alipokuwa akizungumza na wajumbe wa Kongamano la Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) ambalo linakwenda sambamba na maandalizi ya miaka 48…

Read More

Wawili wafukuzwa Skauti kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha

Dar es Salaam. Chama cha Skauti Tanzania kimewafuta uanachama wakufunzi wake wawili, Faustine Magige na Festo Mazengo, kwa tuhuma za kukiuka katiba na sera za chama hicho, ikiwemo ubadhirifu wa fedha zinazohusiana na safari ya kimataifa ya watoto wa skauti. Taarifa hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Skauti Tanzania, Rashid Mchatta, leo Jumatano, Mei…

Read More

Wanakijiji wachanga mamilioni kujenga shule mpya

Musoma. Wazazi katika Kijiji cha Muhoji, Kata ya Bugwema  kwa kushirikiana na wadau wengine wamejitolea kuchanga Sh175 milioni kutekeleza mradi wa ujenzi shule mpya ya Sekondari ya Muhoji. Akizungumza leo Jumatatu Juni, 9 2025 na  mkuu wa shule mpya, Joseph Ndalo amesema awali wanafunzi walilazimika kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 20 na kurudi shule…

Read More

Pamba Jiji yaonywa mapema Ligi Kuu Bara

MAANDALIZI ya Pamba Jiji kwa ajili ya Ligi Kuu msimu ujao wa mwaka 2024/2025 yanazidi kushika kasi, huku mastaa wa zamani na makocha wakiionya kufanya usajili wa kukurupuka utakaoisababisha kushuka daraja msimu wake wa kwanza. Timu hiyo ya jijini hapa tayari imeachana na benchi la ufundi chini ya Mbwana Makatta na Renatus Shija walioipandisha daraja…

Read More

Wanufaika wa Tasaf Mwanza waanzisha vizimba vya samaki

Mwanza. Jumla ya Sh34 milioni zimetumika kuanzisha mradi wa ufugaji wa samaki katika vizimba utakaonufaisha kaya 27 zilizopo kwenye mpango wa kunusuru kaya maskini katika Mtaa wa Kayenze Ndogo Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza. Akitoa taarifa ya mradi huo kwa wajumbe wa uongozi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) kitaifa walioutembelea kuukagua, Ofisa Mtendaji…

Read More

KAULI YA POLISI, UCHUNGUZI WA TUKIO LA UKATILI LILILOENEA MITANDAONI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Jeshi la Polisi Tanzania limepokea simu nyingi kutoka kwa waandishi wa habari wakitaka kufahamu hatua zilizochukuliwa kuhusu video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionesha tukio la ukatili dhidi ya msichana mdogo. Katika taarifa kwa umma iliyotolewa na David A. Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi, imeelezwa kuwa uchunguzi unaendelea vizuri na wananchi watajulishwa matokeo mara…

Read More

Kivumbi uchaguzi TWFA Mwanza | Mwanaspoti

KESHO Chama cha Soka la Wanawake Mkoa wa Mwanza (WFAMZ) kitafanya uchaguzi mkuu kupata uongozi mpya utakaochaguliwa na wapigakura 12, huku kukiwa na mnyukano mkali ambao umefanya kamati ya uchaguzi huo kutoa onyo kali. Nafasi zinazogombewa kwenye uchaguzi huo ni mwenyekiti na Sophia Makilagi anatetea kiti chake akikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Mwenyekiti wa…

Read More