NSSF YAANZA KUWAONDOA WADAIWA SUGU KATIKA NYUMBA ZAKE

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeanza zoezi la kuwaondoa wadaiwa sugu walioshindwa kutekeleza matakwa ya mkataba wa ununuzi wa nyumba katika miradi yake ya Dar es Salaam. Zoezi la kuwaondoa wadaiwa sugu hao lilifanyika tarehe 18 Juni 2024 katika mradi wa nyumba za Kijichi, Temeke. Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Meneja Miliki…

Read More

MATUMIZI YA MFUMO WA E-BOARD UNAPUNGUZA GHARAMA-DED ILEMELA

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Bi. Ummy Mohammed Wayayu,akizungumza kuhusu mfumo wa kuwezesha uratibu wa shughuli za uandaaji wa vikao mbalimbali vya bodi na menejimenti katika Halmashauri na Taasisi za Umma. (e-Board) Ofisini kwake Ilemela jijini Mwanza. Na.Mwandishi Wetu-MWANZA Matumizi ya Mfumo wa kuwezesha uratibu wa shughuli za uandaaji wa vikao mbalimbali…

Read More

TTC Memphis yatinga nusu fainali tabora

 TTC Memphisi imekuwa ya kwanza kutinga nusu fainali ya Ligi ya Kikapu Tabora, baada ya kuvuna pointi 10 kutokana na ushindi wa michezo   mitano mfululizo.  TTC inafuatiwa na Stylerz Centre yenye pointi nane na ingemaliza na tisa kama ingekamilisha  robo ya nne. Kutokana na sheria ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Kikapu duniani (FIBA),…

Read More

DKT.NDUMBARO  ACHAGULIWA MWENYEKITI WA KAMATI MAALUM YA MAWAZIRI WA SHERIA YA UMOJA WA AFRIKA

Waziri wa Katiba na Sheria Nchini Tanzania Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza  maalum la  Mawaziri wa Sheria la  Umoja wa Afrika kikao  kilichowakutanisha Mawaziri, Mabalozi na Wataalamu katika sekta ya Sheria wa Umoja wa Afrika kikao kilichofanyika kuanzia tarehe 14 na kumalizika leo tarehe 22  Desemba, 2024 katika hotel ya Golden…

Read More

Kumi na moja wapenya mchujo wa mwisho uchaguzi TFF

KAMATI ya Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetoa orodha ya mwisho ya majina ya wagombea 11 waliopenya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa shirikia hilo uliopangwa kufanyika Agosti 16, 2025, jijini Tanga. Orodha hiyo ina majina ya wagombea 11 tu kati ya 25 waliojitokeza awali na kufyekwa kupitia hatua mbalimbali…

Read More