Sungusungu saba walioshtakiwa kwa mauaji waachiwa

Arusha. Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dodoma imewaachia huru washtakiwa saba ambao ni sungusungu, waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya mwanakijiji aliyedaiwa kuwa mchawi. Katika kesi hiyo ya mauaji namba 78 ya mwaka 2023, washtakiwa walikuwa ni Maria Chigwile, Magreth Steven, Agusta Reuben, Janeth Hoya, Mariam Zacharia, Tatu Mkomochi na Pendo Lucas. Mbele ya…

Read More

Unamjua mwalimu wa mtoto wako?

Ni mara kadhaa nimekutana na wazazi wanaolalamika kwamba anatumia fedha nyingi kulipa ada lakini mtoto wake hafanyi vizuri na wengine wanapoteza kabisa uelekeo kwenye elimu. Kilio cha wengi ni kwamba natafuta hela kwa jasho ila zinaishia kupotea maana huyu mtoto hana anachoingiza kichwani na walimu wake wameshindwa kabisa kumsaidia. Malalamiko haya yamenifanya leo nizungumze na…

Read More

Mashabiki washangazwa Yanga kumtimua Gamondi

Baada ya Yanga leo Ijumaa Novemba 15, 2024 kutoa taarifa ya kumtimua kocha wao Miguel Gamondi bila kutaja sababu, mashabiki wa timu hiyo wamegawanyika katika mitandao ya kijamii. Taarifa ya kuachana na Gamondi pamoja na aliyekuwa msaidizi wake Moussa Ndew imetolewa leo baada ya tetesi kuzagaa wiki nzima na uongozi wa Yanga umesema upo kwenye…

Read More

Jiongeze: Kamwe na ufalme wa Jangwani

Kwa sasa inajulikana yupi ni yupi pale Jangwani. Nenda kwenye kurasa zao mitandaoni, tazama ‘intaraksheni’ ya mashabiki wa timu yao. Kuna namna Kamwe anacheza na akili za mashabiki. Mitaani mpaka mitandaoni anaishi kama sehemu yao. Anaweka picha kamili ya shabiki wa Yanga anayefanya kazi pale Yanga. Akiposti jambo la Yanga, hupata muamko mkubwa na hata…

Read More

Hamas yawaachilia mateka watatu wa Israel, Wapalestina 369 kunufaika

Gaza. Kundi la Hamas limewaachilia huru mateka watatu wa Israel waliokuwa wakishikiliwa katika eneo la Gaza, huku Israel ikitarajiwa kuwaachia Wapalestina 369 waliokuwa wakitumikia vifungo. Utaratibu wa kuachia mateka ni sehemu ya utekelezaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyofanyika kuanzia Januari 2025 kati ya Hamas na Jeshi la Israel (IDF). Mateka waliokombolewa ni Sagui Dekel-Chen…

Read More

Taarifa kwa vyombo vya habari

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kuanzia Desemba 2023 hadi tarehe 22 Mei 2024 limekuwa na Operesheni kali  maalum  ikihusisha kamisheni mbalimbali za Polisi ikiwemo ile ya kisayansi na kuwezesha kupatikana kwa magari 12 ya wizi ambayo tayari yamekwisha  tambuliwa na wamiliki baada ya uchunguzi pia bajaji 5 zimepatikana. Katika operation hii…

Read More

FYATU MFYATUZI: Hongereni mafyatu kwa kumpenda Mama

‘Mwanafalsafa’ maarufu wa Uganda, alhaj, Doktari, field Marshall, profedheha Idi Amin Kaidada Oumee aliyepata elimu yake mtaani, aliwahi kusema kuwa lazima watawaliwa wawapende watawala bila kujali lolote au wanawatweza vipi. Lazima wawasifie hata wakikosea. Wawachekee hata kama wanapaswa kulia. Wawaabudu ikibidi hata kama wao si Mungu. Kwani, kufanya hivyo, huleta ‘amani na maendeleo’ hata kama…

Read More

Trump atoa kauli mgogoro wa Rwanda, DR Congo

Dar es Salaam. Rais wa Marekani, Donald Trump amesema mgogoro kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) “ni tatizo kubwa sana.” Trump amebainisha hilo Alhamis Januari 30, 2025 akijibu swali la mwandishi aliyemuuliza kuhusu kinachoendelea baina ya Rwanda na DRC, wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuhusu ajali ya ndege iliyotokea…

Read More