RC atishia kufunga biashara kisa uchafu

Pemba. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Rashid Hadid Rashid amesema Serikali ya Mkoa huo itachukua hatua za kisheria dhidi ya wafanyabiashara watakaoshindwa kudumisha usafi katika maeneo yao ya kazi, ikiwemo kufungia biashara zao. Kauli hiyo ameitoa leo Ijumaa Aprili 18, 2025, wakati wa operesheni maalum ya usafi wa mazingira iliyofanyika katika maeneo mbalimbali ya…

Read More

Usichokijua unapochangia damu | Mwananchi

Mwanza. ‘Bila mafuta, gari haliwezi kuendeshwa, vivyo hivyo bila damu, mwili hauwezi kufanya kazi’ ndivyo unavyoweza kuelezea umuhimu wa damu katika mwili na maisha ya mwanadamu. Watalaamu wa afya wanasema bila damu hakuna usafirishaji wa hewa ya oksijeni na virutubisho mwilini wala kuratibu wa mfumo wa kinga mwilini,  ili kupambana na maambukizi mbalimbali ya magonjwa…

Read More

OSHA yawezesha wachimbaji, wapondaji kokoto Dar

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Wajasiriamali wadogo wapatao 500 wanaojihusisha na uchimbaji na uchakataji kokoto jijini Dar es Salaam wamewezeshwa vifaa kinga na kupatiwa mafunzo ya usalama na afya ili kujiepusha na ajali, magonjwa na vifo vinavyoweza kusababishwa na vihatarishi vilivyopo katika mazingira ya kazi.  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira…

Read More

Wenye Uviko-19 waongezeka, Dar es Salaam yatajwa

Dar es Salaam. Takwimu zilizotolewa na Wizara ya Afya zinaonyesha kuwepo ongezeko la watu wenye maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19 nchini katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita. Takwimu hizo zimetolewa leo Jumanne Mei 20, 2025, na Ofisi ya Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Grace Magembe kupitia taarifa yake kwa umma, ambapo amesema kumekuwepo ongezeko la…

Read More

Walichozungumza Dk Mpango, Ho Duc Phoc wa Vietnam

Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Vietnam, Ho Duc Phoc, yaliyofanyika kando ya Mkutano wa Nne wa Kimataifa kuhusu Ufadhili wa Maendeleo (FfD4) unaofanyika jijini Sevilla nchini Hispania. Katika mazungumzo hayo, Makamu wa Rais amesema Serikali ya Tanzania inathamini ushirikiano ulipo…

Read More

Simbu ang’ara, ashika nafasi ya pili Boston Marathon

Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania Alphonce Simbu ameng’ara katika mbio za Boston Marathon ambazo zimemalizika muda mchache uliopita nchini Marekani baada ya kushika nafasi ya pili. Simbu anakuwa Mtanzania wa pili kumaliza nafasi ya pili katika mbio hizo baada ya Nyota mwingine Gabriel Geay kufanya hivyo mwaka 2023. Nyota huyo kutoka Jeshi la Wananchi wa…

Read More

Nzengo: Nguvu ya mshikamano Kanda ya Ziwa

Mwanza. Katika miji na vijiji vya mikoa ya Kanda ya Ziwa, sauti ya kilio au yowe inaposikika kuashiria tatizo, ikiwamo taarifa za kifo, mfumo wa kijamii uitwao nzengo huchukua nafasi yake. Wanajamii hukusanyika eneo husika, wanawake kwa wanaume, vijana wa kike na wa kiume, kuhakikisha wanatoa msaada kwa lililotokea. Iwapo ni msiba, kinamama wataingia jikoni,…

Read More