UN inatoa wito wa mshikamano na utashi wa kisiasa kukomesha ubaguzi wa rangi – Masuala ya Ulimwenguni

Umati ulikusanyika nje ya kituo cha polisi cha Sharpeville tarehe 21 Machi 1960 “hawakuja na silaha, lakini kwa imani – sio kugawanya jamii, lakini kudai utu wao ndani yake.,” Rais wa Baraza Kuu Annalena Baerbock alikumbuka katika hotuba yake ya ufunguzi. Lakini ukumbusho wa kila mwaka unahusu zaidi ya tukio moja linalojulikana vibaya, alisema, kwani…

Read More

Chadema kibarua tena leo mahakamani Dodoma

Dar es Salaam. Mawakili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo Jumanne, Machi 24, 2026 watakuwa na kibarua kingine kuishawishi mahakama wakati wa usikilizwaji wa mashauri manne yanayotokana na kesi ya madai ya mgawanyo wa rasilimali usio sawa kati ya Tanzania Bara na Zanzibar inayokikabili. Mashauri hayo ya mapitio yaliyopewa usajili wa maombi ya…

Read More

Yanga Yamrudisha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

Global Publishers March 24, 2026 0 Comments Klabu ya Yanga, imetangaza kumrejesha kocha Abdihamid Moalin kuwa kocha Msaidizi chini ya Kocha Mkuu Pedro Gonçalves hatua ambayo klabu hiyo imeeleza kuwa imalenga kutatua changamoto ya kiufundi klabu hiyo inayopelekea kupata wakati mgumu kupata matokeo mazuri na kucheza vizuri. Taarifa ya Machi 23, 2026 iliyotolewa na klabu…

Read More

Japan Yaanza Kuachia Akiba ya Mafuta Kukabiliana na Upungufu wa Nishati

Global Publishers March 24, 2026 0 Comments Waziri Mkuu wa Japan, Sanae Takaichi Serikali ya Japan imetangaza kuanza kuachia sehemu ya akiba yake ya kitaifa ya mafuta kuanzia Alhamisi, hatua inayolenga kukabiliana na wasiwasi unaoongezeka kuhusu usambazaji wa nishati duniani. Tangazo hilo limetolewa na Waziri Mkuu wa Japan, Sanae Takaichi, kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye mtandao…

Read More

Umbali mrefu shuleni unavyoyumbisha wanafunzi kitaaluma -2

Bagamoyo. Wanafunzi kutembea umbali mrefu kwenda na kurudi shule ni moja ya changamoto zinazoripotiwa mara kwa mara nchini. Sababu kuu ni mchanganyiko wa sababu za kijografia, hamahama ya baadhi ya jamii, uchaguzi wa shule zenye matokeo mazuri bila kuzingatia umbali, na baadhi ya shule kuwa mbali na makazi ya watoto. Vilevile, uchumi wa familia, kutokuwepo…

Read More

Pengo la fedha latishia mapambano dhidi ya kifua kikuu

Dar es Salaam. Uwekezaji wa fedha katika kushughulikia ugonjwa wa kifua kikuu (TB) nchini Tanzania bado haujitoshelezi, hali inayochangia kuendelea kuwepo kwa maambukizi mapya na vifo vinavyoweza kuzuilika, licha ya jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali na wadau wa maendeleo. Takwimu zinaonesha Tanzania inachangia takribani asilimia 22 pekee ya fedha zote za mapambano dhidi ya TB,…

Read More