YANGA SC YALAZIMISHWA SARE 1-1 NA AL AHLY
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KLABU ya Yanga imelazimishwa kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Al ahly ya Misri, mchezo ambao umepigwa kwenye dimba la New Aman Zanzibar. Katika mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa barabi Afrika hatua ya makundi, Yanga ilianza kupata bao kipindi cha kwanza kupitia kwa beki wao Ibrahim Hamad. Yanga Sc…