YANGA SC YALAZIMISHWA SARE 1-1 NA AL AHLY

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KLABU ya Yanga imelazimishwa kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Al ahly ya Misri, mchezo ambao umepigwa kwenye dimba la New Aman Zanzibar. Katika mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa barabi Afrika hatua ya makundi, Yanga ilianza kupata bao kipindi cha kwanza kupitia kwa beki wao Ibrahim Hamad. Yanga Sc…

Read More

Ingia toka Ligi Kuu dirisha dogo 2025-2026

DIRISHA dogo la usajili wa Ligi Kuu Bara na mashindano mengine ya ndani lilifungwa juzi, Ijumaa, Januari 30, 2026, baada ya kudumu kwa mwezi mmoja tangu lilipofunguliwa Januari 1, 2026, kwa ajili ya klabu kuvuta silaha mpya zitakazoongeza nguvu msimu huu. Mwanaspoti linakuletea usajili wote wa nyota wapya uliokamilika kwa kila timu na kutangazwa, na…

Read More

Usitishaji mapigano wa Syria wakaribishwa, ‘makubaliano ya Olimpiki’, watoto wa Ukrainia wasitishwa – Masuala ya Ulimwenguni

“Tunakaribisha juhudi za kuleta utulivu katika eneo hili na sasa tunatumai kukomesha kabisa uhasama na azimio endelevu,” alisema Mwenyekiti wa Umoja wa Mataifa huru. Baraza la Haki za Binadamu– timu ya uchunguzi iliyopewa mamlaka, Paulo Pinheiro, ikisisitiza haja ya kushughulikia mahitaji makubwa ya kibinadamu, ikiwa ni pamoja na chakula, maji na umeme. Utambuzi wa haki…

Read More

Bunge lilivyofunga mjadala hotuba ya Rais, Dk Mwigulu akitoa maagizo

Dodoma. Serikali imetaja maeneo yanayoongoza kwa uvujaji wa fedha za umma na kueleza mikakati inayochukuliwa kuyaziba ikisisitiza kuwa pamoja na changamoto zilizopo, nchi haijasimama bali inaendelea kusonga mbele kimaendeleo. Kauli hiyo imetolewa kufuatia michango ya wabunge waliotoa maoni yao wakati wa mjadala wa hotuba ya Rais, Samia Suluhu Hassan aliyoitoa Novemba 14, 2025 wakati wa…

Read More

Mtoto wa miaka 11 adaiwa Kujinyonga, aacha ujumbe

Arusha. Mtoto Lightness Mkindi (11), mkazi wa Mtaa wa Ilboru jijini Arusha amedaiwa kujinyonga ndani ya bafu la nyumba yao kwa kutumia kitenge huku akiacha ujumbe wa maandishi. Tukio hilo lililotokea jana Ijumaa Januari 30, 2026  jijini Arusha, taarifa za awali zinaeleza kuwa, Mkindi alijinyonga kwa kutumia kitenge chake na kufariki dunia. Kamanda wa Polisi…

Read More

LATRA YATOA MUDA WA MIFUMO YA TIKETI MTANDAO YAPITIWA UPYA, 10 YAFAULU

 :::::::::: Na Mwandishi Wetu  Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza kuidhinisha mifumo 10 ya tiketi mtandao baada ya kampuni hizo kukidhi matakwa ya kisheria, huku ikieleza kuwa mifumo mingine  imeshindwa kufikia viwango vilivyowekwa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Mawasiliano cha LATRA, Salum Pazy, amesema…

Read More

Azam yaliamsha, Wakenya wakijipanga CAFCC

AZAM imepanga kuendeleza ubabe mbele ya Nairobi United kwenye mchezo wa nne wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika huku Wakenya hao wakija na hesabu zao. Kocha wa Azam, Florent Ibenge baada ya kushinda mchezo wake wa kwanza hatua ya makundi ugenini, amesema wanataka kutafuta ushindi wa pili ili kujiweka sawa. Ibenge amesema…

Read More