Wanawake FCC watakiwa kujenga Mshikamano na Umoja

Na Mwandishi Wetu Wanawake wa Tume ya Ushindani (FCC ) wametakiwa kuwa na  upendo ambao utajenga mshikamano na kuleta ufanisi katika Taasisi. Hayo ameyasema Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa FCC, Bi. Magdarena Utouh katika  Maadhimisho  ya Siku ya  Wanawake Duniani ambayo hufanyika kila Machi 8 ya kila mwaka. Magdelena amesema maadhimisho ya Siku ya…

Read More

DKT. PHILIP MPANGO, BALOZI MULAMULA NA VIONGOZI WENGINE WA TANZANIA WASHIRIKI MKUTANO WA UNGA NEW YORK, USA.

:::::::::: Viongozi mbalimbali wa Tanzania wakiongozwa na Makamu wa Rais, Dkt. Phillip Mpango wameshiriki mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) New York. Pia, Mtanzania Balozi Liberata Mulamula ambaye ni Mjumbe Maalum Umoja wa Afrika, kuhusu Agenda ya Wanawake, Amani na Usalama, ameshiriki mkutano huo. Viongozi wengine walioshirki huo ni Waziri wa Mambo…

Read More

BoT yakusanya tani tano za dhahabu kutoka MPMR

Mwanza. Kiwanda cha kusafisha madini ya dhahabu Mwanza Precious Metals Refinery (MPMR) kilichopo jijini Mwanza, kimefanikiwa kukusanya tani tano za madini ya dhahabu kwa kipindi cha mwaka mmoja, na kuendelea kuipaisha Tanzania katika sekta ya madini kwa ukanda wa Afrika Mashariki. Akizungumza leo Septemba 27, 2025 na ujumbe kutoka Malawi, Ofisa Madini kutoka mkoani Mwanza…

Read More

Paa Na Kindege Cha Aviator, Nyakua Samsung Galaxy A26 Bure

Global Publishers March 2, 2026 0 Comments Wapenzi wote wa kasino mtandaoni wanaojua ladha ya ushindi, huu ni muda wenu kung’ara. Meridianbet imeichangamsha Aviator kwa mipango mpya kabisa. Sasa una nafasi ya kushinda Samsung Galaxy A26 unapocheza kama kawaida. Hapa sio tu unatafuta cashout ya pesa nyingi bali pia unacheza kwa ajili ya zawadi halisi…

Read More

KUELEKEA MACHI 8 WANAWAKE CHATO WAGUSA WENYE UHITAJI

Kuelekea kilele cha Siku ya Wanawake Duniani, Machi 8, wanawake wa Wilaya ya Chato mkoani Geita wameamua kuadhimisha siku hiyo kwa namna ya pekee kwa kutoa misaada na neno la faraja kwa makundi yenye uhitaji. Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Afisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya ya Chato, Christina Robert, amesema wanawake wa halmashauri hiyo…

Read More

RC CHALAMILA AFANYA ZIARA WILAYA YA KIGAMBONI

……….. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amefanya ziara ya kitembelea ujenzi wa mradi wa shule maalum ya Sekondari ya Mkoa wa Dar es Salaam pamoja ujenzi na chuo cha ufundi Veta wilayani kigamboni sanjari na kufanya kikao na watendaji wa halmashairi hiyo na kuwataka kisimamia vyema ukusanyaji wa mapato ili…

Read More