Wadau; Mikopo ya elimu ianzie ngazi ya msingi

Mbeya. Wadau wa elimu wakiwamo wazazi na walezi wameshauri kuwapo mpango wa Taifa wa kuwasaidia wanafunzi wanaotoka familia zisizojiweza kufikia ndoto zao kielimu. Kwani, hata baada ya elimu ya msingi kutolewa bure kwa wanafunzi wote, wapo wenye mahitaji maalumu wanaoishi na walezi au wazazi wasioweza kumudu mahitaji ya shule hasa vifaa. Hili linasemwa wakati ambao…

Read More

MHANDISI MATIVILA AMTAKA MKANDARASI ANAYEJENGA DARAJA LA MOHORO KUKAMILISHA UJENZI KWA WAKATI

Rufiji, Pwani Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatus Mativila amemtaka Mkandarasi anayejenga daraja la Mohoro (MAC CONTRACTORS COMPANY LTD) lenye urefu wa mita 100 wilayani Rufiji mkoani Pwani kukamilisha ujenzi wa daraja hilo kwa wakati. Akizungumza wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo, Mhandisi Mativila amesema fedha…

Read More

Wahitimu wapewa mbinu kukabili tatizo la ajira kidijitali

Arusha. Wakati Baraza la Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki (IUCEA), likionyesha zaidi ya asilimia 50 ya wahitimu katika ukanda huo hawapati ajira, wahitimu wametakiwa kutumia teknolojia kujenga mifumo bunifu na salama inayotatua changamoto za kwenye jamii kama nyenzo muhimu ya kutengeneza uchumi. Kulingana na uchunguzi wa IUCEA, ukosefu wa ujuzi unaohitajika katika sekta muhimu, hususan…

Read More

Mkuu wa Biashara ya UN – Maswala ya Ulimwenguni

Bi Grynspan alikuwa akiongea baada ya kuongezeka kwa wasiwasi wa UN kwa athari inayoendelea kuwa na uhakika wa uchumi unaoweza kuwa hatari zaidi. Siku ya Jumanne, Katibu Mkuu wa UN, António Guterres, alisema kwamba “vita vya biashara ni mbaya sana,” na alionya kwamba athari za ushuru zinaweza kuwa “mbaya.” Ushuru ni ushuru kwa uagizaji unaokuja…

Read More