Wadau; Mikopo ya elimu ianzie ngazi ya msingi
Mbeya. Wadau wa elimu wakiwamo wazazi na walezi wameshauri kuwapo mpango wa Taifa wa kuwasaidia wanafunzi wanaotoka familia zisizojiweza kufikia ndoto zao kielimu. Kwani, hata baada ya elimu ya msingi kutolewa bure kwa wanafunzi wote, wapo wenye mahitaji maalumu wanaoishi na walezi au wazazi wasioweza kumudu mahitaji ya shule hasa vifaa. Hili linasemwa wakati ambao…