Watumishi watatu waadhibiwa Longido, mmoja afukuzwa kazi

Arusha. Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha, limetoa adhabu kwa watumishi wake watatu wa halmashauri hiyo, akiwemo mmoja kufukuzwa kazi. Mtumishi mwingine ameshushwa cheo na mwingine ameadhibiwa kupunguziwa mshahara wake kwa asilimia 15 kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo kutokana na kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya Sh300 milioni….

Read More

Siku tisa kuelekea uchaguzi, zinahitaji haya

Dar es Salaam. Wakati sekunde zikizidi kuyoyoma, saa zikikimbia na siku tisa tu zikisalia kabla ya Watanzania kuelekea kupiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa, kila mmoja  ana wajibu wa pekee kuhakikisha anashiriki kikamilifu kwenye mchakato huu wa kidemokrasia. Uchaguzi huo, uliopangwa kufanyika Novemba 27, 2024 una nafasi kubwa ya kubadili mustakabali wa jamii…

Read More

‘Wimbo’ wa Bagamoyo umefungwa, kazi inaendelea

Dodoma. Wakati Serikali ikitaja vipaumbele katika bajeti yam waka wa fedha  2025/26 kwa Wizara ya Mipango na Uwekezaji, kitendawili cha ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo hatimaye kimefika mwisho. Moja ya vipaumbele katika bajeti ya 2025/26 ni kuzindua na kutangaza mradi wa Bagamoyo SEZ kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kwa nia ya kuendeleza…

Read More

TANROADS RUVUMA YAENDELEA KUFUNGUA BARABARA KUELEKEA KWENYE MAENEO YA UZALISHAJI

Serikali kupitia Wakala wa barabara Tanzania(TANROADS) Mkoani Ruvuma,imeanza kufanya matengenezo makubwa ya barabara zinazoelekea kwenye maeneo ya uzalishaji ikiwemo maeneo yanayolimwa zao la kahawa ili kutoa fursa kwa wakulima kusafirisha mazao yao kwa urahisi pindi wanapohitaji kupeleka sokoni. Barabara ambazo zimeanza kufanyiwa matengenezo zinaunganisha Wilaya ya Mbinga na Nyasa ambazo ni maarufu kwa kilimo cha…

Read More

Hakuna aliye salama Ligi Kuu Bara

LIGI Kuu Bara inakwenda ukingoni huku ikibaki kati ya michezo mitatu hadi minne kwa baadhi ya timu ili kumaliza msimu huu, lakini mbali na bingwa kupatikana ambaye ni Yanga aliyebeba mara tatu mfululizo, kuna vita kubwa ipo katika nafasi ya kushuka daraja. Katika msimamo wa Ligi Kuu Bara kuanzia timu inayoshika nafasi ya tano hadi…

Read More

Kiungo wa kati wa Manchester City anajitoa kwa Barcelona.

Barcelona wanawinda kiungo wa kati msimu huu wa joto kuchukua nafasi ya Sergio Busquets, baada ya juhudi zao za kufanya hivyo wakiwa na Oriol Romeu kutofaulu mwaka huu. Baadhi ya watu wamekuwa wakihusishwa na klabu ya Blaugrana, lakini kiungo wa Manchester City, Kalvin Phillips ameamua kujiweka kwenye rada. Baada ya kupoteza nafasi yake katika timu…

Read More

TMA: Mikoa minane kupata mvua kubwa

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la mvua kubwa kwa maeneo machache ya mikoa minane nchini kesho Novemba 24, 2024. Taarifa ya TMA iliyotolewa leo Jumamosi Novemba 23, saa 9.30 mchana imeyataja maeneo hayo kuwa ni Nyanda za Juu Kaskazini Mashariki, mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro. Mengine yatakayopata…

Read More