Tanzania Olympic Committee (TOC) General Election Set for December 14, 2024/Uchaguzi Mkuu wa Kamati ya Olympic Tanzania (TOC) Kufanyika Desemba 14, 2024

The Election Commission of the Tanzania Olympic Committee (TOC) has officially announced that its general election will take place on December 14, 2024.  With a large turnout of candidates expected, application forms for those seeking to run will be available starting tomorrow, Tuesday, November 5, 2024, at designated offices on the mainland and Zanzibar. The…

Read More

Bidhaa za plastiki bado mfupa mgumu

Dar es Salaam. Mageuzi ya kisera yatakayozuia uingizwaji wa plastiki Tanzania, kuanzisha mifuko itakayohamasisha urejelezaji wa taka zimetajwa kuwa njia zinazoweza kukomesha matumizi ya plastiki nchini. Kwa sababu licha ya jitihada zinazofanywa na mamlaka mbalimbali lakini fedha nyingi bado zinatumika na zinaendelea kuongezeka katika kuagiza bidhaa za plastiki kutoka nje ya nchi. Ripoti ya Benki…

Read More

Coastal Union, JKT TZ kazi ipo Arachuga

UHONDO wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena leo kwa kupigwa mechi mbili za kukamilisha raundi ya 17, huku kazi kubwa ikiwa jijini Arusha na JKT Tanzania itakakuwa wageni wa Wagosi wa Kaya, Coastal Unuion kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini humo. Mchezo mwingine wa leo ni wenyeji Singida Black Stars itakayoikaribisha Kagera Sugar kwenye…

Read More

Alichozungumza Papa Leo XIV na Zelensky

Vatican. Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki, Papa Leo XIV amefanya mazungumzo ya simu na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ikiwa ni simu ya kwanza kuzungumza na kiongozi wa kitaifa tangu achaguliwe katika wadhifa huo. Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika leo Jumatatu Mei 12, 2025, Papa Leo na Zelensky wamezungumzia mapendekezo ya usitishaji mapigano na malumbano kati…

Read More

CHUO CHA EXCELLENT YAHUDUMIA WANANCHI ZAIDI YA 500

Mkufunzi wa Chuo cha Afya Excellent Rogers Gidion akitoa maelezo kuhusiana na kambi walivyoendesha katika utoaji wa uchunguzi na matibabu kwa wakazi wa Kibaha. Mkurugenzi  wa Vyuo vya Afya na Sayansi Shirikishi vya Excellent, Msaada Balula akizungumza wakati wa kilele cha kambi ya uchunguzi na magonjwa mbalimbali iliyoendeshwa na Chuo hicho Kibaha mkoani Pwani. *Ni…

Read More

Sababu 10 zatajwa kuchangia afya ya akili kwa wanaume

Dar es Salaam. Wataalamu wa saikolojia tiba wamesema ongezeko la matukio ya kuua, kujiua na changamoto ya afya ya akili miongoni mwa wanaume, inachangiwa na ukimya miongoni mwa jinsia hiyo. Wameeleza umuhimu wa jamii kuwapa wanaume mazingira salama ya afya zao za akili, ikiwemo ‘kufunguka’ bila kuhukumiwa, ili kuwalinda na matokeo hasi ya msongo wa…

Read More