MADIWANI BIHARAMULO WAPITISHA BAJETI YA BILIONI 54.9

…….. BIHARAMULO  BARAZA la Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera limepitisha mapendekezo ya mpango na bajeti ya mwaka 2026/27 kiasi cha shilingi 54,978,707,300 kwa lengo la kuchochea maendeleo na ustawi wa wananchi wake. Akiwasilisha bajeti hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo, Innocent Mkandara, Mweka hazina wa halmashauri ya Biharamulo,…

Read More

Manula arejea Stars Gamondi akiita 25

KOCHA wa Taifa Stars, Miguel Gamondi ametangaza kikosi cha wachezaji 25 akiwemo kipa Aishi Manula wa Azam kujiandaa na michezo miwili ya FIFA Series 2026 ambayo itachezwa Kigali nchini Rwanda. FIFA Series ambayo imekuwa ikifanyika katika kipindi cha kalenda ya FIFA, Machi 26, 2026 Taifa Stars itacheza dhidi ya Liechtenstein kwenye Uwanja wa Kigali Pelé…

Read More

AG Johari:  Wanasheria endelea kujifunza bila kikomo

Kibaha. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema taifa linahitaji wanasheria wenye moyo wa kujifunza daima, akibainisha kuwa elimu haiishii chuoni bali ni safari endelevu ya kukuza weledi na uwezo wa kutatua changamoto mbalimbali. Johari ametoa kauli hiyo leo, Alhamisi Septemba 18, 2025, wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa wanasheria wa Serikali kutoka Ofisi…

Read More

Watatu walioshtakiwa kumuua bodaboda, wahukumiwa kunyongwa

Arusha. Watuhumiwa watatu kati ya wanne walioshtakiwa kwa mauaji ya dereva bodaboda, Shaban Mwalile, wamehukumiwa adhabu ya  kunyongwa hadi kufa. Mwenzao mmoja aliyekuwa ameshtakiwa nao, alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kukiri kosa la kusaidia kuficha taarifa za mauaji hayo, chini ya kifungu cha 213 cha kanuni ya adhabu. Washtakiwa waliohukumiwa kunyongwa ni…

Read More

Madereva wapewa mbinu kunufaika na stahiki za wafanyakazi

Mwanza. Mikataba ya uonevu, ukosefu wa usalama kazini, kutojiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii na kukosa bima za afya, likizo na mikopo, imetajwa kuwa changamoto kubwa zinazowakabili madereva wa bodaboda, bajaji na daladala nchini. Hayo yameelezwa leo Jumanne Septemba 16, 2025 na Ofisa Elimu wa Chama cha Wafanyakazi wa Mawasiliano na Uchukuzi Tanzania (Cotwu),…

Read More

Zanzibar yaahidi makubwa mchezo wa Kabaddi duniani

BAADA ya kushindwa kufanya vizuri katika mashindano ya dunia ya Kabaddi Wanawake, timu ya taifa ya Zanzibar imesema inajipanga upya ili wakati ujao ifike mbali zaidi. Hayo yamesemwa na Katibu Msaidizi wa Shirikisho la Mchezo wa Kabaddi Zanzibar, Ramadhan Mrisho, alipozungumza na Mwanaspoti, huku akibainisha, kukosa uzoefu ndiyo sababu ya kushindwa kufanikiwa kwao. Amesema timu…

Read More