Iwe isiwe, Kwa Mkapa kitawaka

UBABE, soka la kasi na burudani ndani na nje ya uwanja vinatarajiwa katika mchezo wa Dabi ya Kariakoo unaopigwa leo kuanzia saa 1:15 usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kwa Yanga kuikaribisha Simba katika mchezo huo wa Ligi Kuu Bara. Mechi ya raundi ya 23 kwa msimu huu na wa 114 kwa…

Read More

Vijana 350 Tanga kuwezeshwa kujiajiri, kuajiriwa

Tanga. Zaidi ya vijana 350 wa Jiji la Tanga wanatarajiwa kunufaika katika nyanja nne jumuishi za kuwapatia ujuzi na kujiajiri kupitia uchumi wa bluu chini ya programu ya vijana  ijulikanayo kama SASA. Mradi huo utakaoendeshwa na Chuo Cha Ufundi Stadi (Veta) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Tanga umetambulishwa leo na Mkuu wa Mkoa…

Read More

Msajili, CAG waguswa kesi ya rasilimali Chadema

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimekana kuwa na nyaraka kuhusu rasilimali zake zilizoombwa katika kesi ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali inayokikabili. Kimesema Msajili wa Vyama vya Siasa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ndio wenye baadhi ya nyaraka zinazoombwa. ‎Kesi hiyo ya madai namba 8323 ya…

Read More

Wakili wa Chadema: Lissu amekamatwa nyumbani kwake Tegeta

Dar es Salaam. Wakili wa Chadema, Hekima Mwasipu amesema Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu amekamatwa na polisi asubuhi ya leo Jumatatu, Septemba 23, 2024. “Lissu amekamatwa nyumbani kwake Tegeta na amepelekwa Kituo cha Polisi Mbweni na mimi kama wakili niko njiani nakwenda huko kujua sababu za kukamatwa kwake,” amesema Hekima alipozungumza na Mwananchi. Jitihada…

Read More

NMB yazindua akaunti ya kidijitali kwa wajasiriamali

BENKI ya NMB imezindua akaunti maalum ya kidijitali iitwayo ‘NMB Niwekee,’ inayolenga kuleta ukombozi wa maisha ya baadaye ya watu walio nje ya mfumo rasmi wa ajira, ambayo inajumuisha faida kedekede ikiwemo bima ya maisha yenye fidia hadi ya Sh. 50 milioni. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). NMB Niwekee ambayo ni fursa na wepesi wa…

Read More

Yanga yajipiga shoti ya mabilioni, Dube aleta uhai

WAKATI mashabiki wa Yanga wakiendelea kuchekelea ubora wa kikosi chao, upo moto unaoiunguza timu hiyo ndani kwa ndani. Yanga kwa misimu mitatu sasa imekuwa ikitingisha katika ligi za ndani na michuano ya kimataifa kutokana na kufanya usajili mzuri wa wachezaji bora wanaoibeba, lakini ikijikuta pia ikipata hasara kutokana na usajili unaofanywa. Iko wazi kuwa kati…

Read More

Mkuu wa ujasusi Uganda afariki dunia

Kampala. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Usalama wa Ndani la Uganda (ISO), Brigedia Jenerali Charles Oluka amefariki katika hospitali moja Kampala-Entebbe jana Jumatano Januari 29, 2025. Naibu Katibu wa Habari katika Ofisi ya Rais nchini humo, Faruk Kirunda ameandika kwenye ukurasa wake wa X;  “Habari za kusikitisha zilizotufikia ni za kifo cha ghafla cha Brigedia…

Read More

Hamdi anavyotembelea nyayo za Ramovic Yanga

USHINDI wa Yanga wa mabao 5-0, ilioupata juzi dhidi ya Mashujaa, umemfanya kocha wa timu hiyo, Miloud Hamdi kutembelea nyayo za mtangulizi wake, Sead Ramovic aliyeondoka na kutimkia CR Belouizdad ya Algeria, kutokana na rekodi zao za sasa. Hamdi alijiunga na Yanga Februari 4, mwaka huu kuchukua nafasi ya Ramovic na tangu ajiunge na kikosi…

Read More