MADIWANI BIHARAMULO WAPITISHA BAJETI YA BILIONI 54.9
…….. BIHARAMULO BARAZA la Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera limepitisha mapendekezo ya mpango na bajeti ya mwaka 2026/27 kiasi cha shilingi 54,978,707,300 kwa lengo la kuchochea maendeleo na ustawi wa wananchi wake. Akiwasilisha bajeti hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo, Innocent Mkandara, Mweka hazina wa halmashauri ya Biharamulo,…