Zuberi Cup yaiteka Moshi | Mwanaspoti

MASHINDANO ya soka ya Kombe la Zuberi Cup yameanza kuchanganya mjini hapa na kuwa gumzo katika vijiweni na  mitaani mbalimbali. Sio watoto,vijana wala wazee wa mitaa ya mji wa Moshi na viunga vyake ikiwemo Bomambuzi,Kaloleni,karanga, kiboriloni,Longuo,Majengo,Njoro,Pasua mpaka Soweto kote huko gumzo ni moja tu,uhondo wa Zuberi Cup msimu wa 2024. Mashindano hayo yanayoendelea  mjini hapa…

Read More

HISIA ZANGU: Kwa Fredy Michael utachukua namba au unachokiona?

FREDY Michael, rafiki yangu Ahmed Ally wakati akijitamba na vifaa ambavyo vilitua Januari alimpachika jina la ‘Fungafunga’. Wakati huo tulikuwa hatujamuona uwanjani. Jina lilitokea mazoezini. Kama sio mazoezini basi alikuwa amelichukua kutokana na mabao aliyofunga Zambia. Baada ya hapo Fredy ametuchanganya akili. Kila tulipomuona uwanjani alituchanganya akili. Mpaka nyakati hizi nikiwasikiliza Wanasimba wenyewe wanajikuta wamechanganyikiwa…

Read More

Rais Samia atoa ujumbe mzito Sikukuu Eid Al Adha

KATIKA kusherehekea Sikukuu ya Eid Al Adha, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan mbali na kuwatakia kheri Watanzania katika sikukuu hiyo, pia ameshiriki Dua ya pamoja na waumini wa dini ya Kiislam baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Al Adha iliyosaliwa katika Msikiti wa Mikocheni kwa Warioba Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17…

Read More

Wanajeshi 6 wa Nigeria waliokuwa katika doria Benin wauwawa – DW – 17.06.2024

17.06.202417 Juni 2024 Jeshi la Niger limesema wanajeshi sita waliokuwa wanalinda bomba la mafuta kwa nchi jirani ya Benin wameuwawa katika shambulizi linalodaiwa kutekelezwa na makundi ya wahalifu waliojihami kusini mwa taifa hilo. https://p.dw.com/p/4h8f0 Maafisa wa ngazi za juu wa jeshi la Niger wakiwa katika mazungumzoPicha: Balima Boureima/picture alliance/AA Shambulizi hilo limetokea katika mji wa…

Read More

Wachimba chokaa 300 waomba mikopo kuondokana na matumizi ya kuni

KUNDI la vijana wanaojishughulisha na uchimbaji wa chokaa katika kijiji cha Nanyala wilayani Mbozi mkoani Songwe wameiomba serikali na wadau wengine kuwapatia mikopo ili waongeze tija katika shughuli zao za uzalishaji. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe…(endelea). Kundi hilo la vijana zaidi ya 300 wametoa maombi hayo ili waweze kuchimba na kuchoma chokaa kisasa kwa kutumia makaa…

Read More

‘Watoto wa mitaani’ wafunguka wanavyotumikishwa kingono

Arusha. Watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani wamefichua jinsi jamii inavyowatumikisha kingono na kihalifu, hasa kwenye dawa ya kulevya bila kujali umri wao. Wamesema jamii inayowazunguka imekuwa ikiwachukulia kama wahalifu au vyombo vya starehe na kutimiza haja zao, hivyo wameiomba Serikali kuwaokoa na janga hilo. Watoto wamesema hayo leo Juni 17, 2024 jijini Arusha kwenye…

Read More

MAJALIWA: WATANZANIA TUENDELEE KUDUMISHA AMANI, UPENDO NA MSHIKAMANO

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kudumisha amani, upendo, umoja, mshikamano, kuhurumiana sambamba na kujiepusha na vitendo vinavyoashiria vurugu, uonevu na uvunjifu wa amani. Pia amewasihi waimarishe malezi kuanzia ngazi ya familia ili kuepuka athari za mmomonyoko wa maadili nchini na kuhakikisha mienendo ya vijana na wanajamii wote inazingatia mila, desturi na…

Read More

MASHINDANO YA UMISSETA YAANZA KUTIMUA VUMBI TABORA 

IKIWA leo Mashindano ya 28 ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISETA) yakifunguliwa, tayari mikoa kadhaa imeanza vizuri safari ya kuwania ubingwa wa michezo hiyo inayofanyika mkoani Tabora. Katika michezo ya awali hatua ya makundi kwa upande wa mpira wa kikapu wavulana, wenyeji Tabora wameachapa Kigoma pointi 48-24, Dodoma ikilala kwa Mbeya kwa pointi…

Read More