Akandwanaho anatua Tabora United | Mwanaspoti

UNAMKUMBUKA  Joseph Akandwanaho aliyekodishwa na Mlandege katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2024 na kuitibulia Simba kwa kufunga bao pekee lililowakosesha Wekundu taji la tano la michuano hiyo? Sasa jamaa anajiandaa kutua Tabora United iliyomkosa katika dirisha kubwa la usajili. Kiungo mshambuliaji huyo aliyeichezea Mlandege katika fainali hizo za mwaka jana na kuiwezesha timu hiyo…

Read More

Aliyeiba iPhone 16 Pro Max, apewa kifungo cha nje

Dar es Salaam. Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, imemhukumu Justo William (31) kutumikia kifungo cha nje cha miezi minne baada ya kupatikana na hatia ya kuiba simu ya mkononi aina ya Iphone 16 Pro Max yenye thamani ya Sh7 milioni. William ambaye ni dereva na mkazi wa Kitunda, jijini Dar es Salaam amehukumiwa kifungo hicho leo,…

Read More

Helabet: Kampuni bora ya ubashiri Tanzania

Kuna kampuni nyingi za ubashiri ambazo zinatoa huduma Tanznaia, lakini ni kampuni moja pkee ambayo inaaminika kwa asilimia 100. Hii ndiyo maana Helabet inaamini kuwa ni Helabet ina leseni kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania Helabet ni kampuni inayofanya kazi kisheria Tanzania na imesajiliwa na kupewa leseni na Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania…

Read More

NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AAGIZA UANDIKISHAJI WA WANACHAMA KUTOKA NGAZI YA SHINA HADI TAIFA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, John Mongella, ametoa maagizo maalum kwa viongozi wa chama hicho, akisisitiza umuhimu wa uandikishaji wa wanachama kuanzia ngazi ya shina hadi taifa. Mongella alitoa maagizo haya alipomtembelea Balozi wa Shina namba 3, Safina Masanja Kitundu, katika tawi la Buduhe, Halmashauri ya Kishapu mkoani Shinyanga. Mongella amesema kuwa CCM ni…

Read More

TBA YATOA ELIMU YA UJENZI NA MIRADI YA KILIMO KATIKA MAONESHO YA NANENANE DODOMA

MENEJA  wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA),Mkadiriaji Majenzi, Qs. Emanuel Wambura,akizungumza na waandishi wa habari kwenye banda TBA wakati wa Maonesho ya Kitaifa ya Nanenane, yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni,jijini  Dodoma. AFISA Masoko TBA Kristolearachel Msengi akitoa elimu kwa wananchi waliofika kwenye banda la TBA wakati wa Maonesho ya Kitaifa ya Nanenane, yanayoendelea katika Viwanja…

Read More