Kliniki inayotembea inavyowasaidia wenye VVU Uvinza

Uvinza. Upatikanaji wa huduma za kinga, tiba na matunzo kwa watu wanaoishi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) katika kitongoji cha Tandala, kata ya Uvinza, wilayani Uvinza na maeneo irani, kumetajwa kusaidia kupunguza gharama na muda waliokuwa wakitumia kufuata huduma hiyo awali. Wakizungumza leo Jumatatu Juni 17, 2024 baadhi ya wapokea huduma hiyo wakati wa kliniki…

Read More

SIO ZENGWE: VAR si kipaumbele cha nchi kwa sasa

KLABU 20 zinazoshiriki Ligi Kuu ya England (EPL) zimekubaliana kuendelea na matumizi ya teknolojia ya mwamuzi msaidizi wa video (V.A.R) baada ya kupiga kura katika Mkutano Mkuu wa mwaka kuamua kuhusu hoja ya Wolves iliyotaka teknolojia hiyo iondolewe msimu ujao wa 2024/25. Wolves iliwasilisha takriban hoja tisa ambazo ilisema zinaharibu mtiririko wa mchezo, kuvuruga furaha…

Read More

Mbowe: Wanaosubiri Chadema ipasuke watasubiri sana

Arusha. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe amekanusha kuwepo kwa mvutano kati yake na makamu mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, kama ambavyo baadhi ya watu wanadai. Amesema ili kudhihirisha kuwa anamaanisha hilo, katika operesheni ya kukijenga chama kuanzia ngazi ya chini, maarufu kwa jina la ‘Grassroot Fortification (GF) ya majimbo…

Read More

Nondo za Cecafa Kagame Cup 2024

Shirikisho la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limetangaza kwamba mashindano ya Cecafa Kagame Cup mwaka 2024 yatafanyika Tanzania Bara na Zanzibar kuanzia Julai 6 hadi 22 mwaka huu. Katika taarifa yao ya awali iliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa CECAFA, John Auko Gecheo, ilionyesha timu shiriki zitakuwa 16 huku tatu zikiwa…

Read More

WALIMU WALIOGUSHI UHAMISHO KUCHUKULIWA HATUA

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles Msonde ametoa muda wa siku moja kwa maofisa Elimu wa mikoa kuwasilisha majina ya Maofisa Elimu na walimu wanaodaiwa kugushi nyaraka za uhamisho wa vituo vya kazi ili hatua za kinidhamu zichukuliwe. Dkt. Msonde ametoa maekezo hayo mkoani Tabora wakati wa ufunguzi wa kikao…

Read More

Uzimaji Intaneti ni ukiukwaji wa haki za binadamu

WANAHARAKATI vijana nchini Tanzania wamesema kitendo cha Serikali kuzima intaneti wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020, kimekiuka mikataba ya kimataifa pamoja na Katiba ya  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Akizungumza na waandishi wa habari mwishoni mwa wiki jijini Dar ea Salaam, Mkurugenzi wa Taasisi ya Haki Binadamu na Utawala wa…

Read More

‘Jitokezeni kwa wingi kushiriki chaguzi zijazo’

Dar es Salaam. Waumini wa Kiislam na Watanzania kwa ujumla wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki chaguzi zijazo za serikali za mitaa vijiji, vitongoji pamoja na Uchaguzi Mkuu 2025, ili kuwachagua viongozi watakaoletea maendeleo. Wito huo umetolewa leo Jumatatu Juni 17, 2024 na mwenyekiti mstaafu wa Baraza la Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Ally Mubarak…

Read More