
Vita ya injini kurindima Dar
BARABARA za vumbi ndani ya viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe Dar es Salaam zimeandaliwa kuelekea raundi ta tatu ya mbio fupi za magari, keshokutwa Jumapili.
BARABARA za vumbi ndani ya viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe Dar es Salaam zimeandaliwa kuelekea raundi ta tatu ya mbio fupi za magari, keshokutwa Jumapili.
NA WILLIUM PAUL, HAI. MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Taifa (MCC) Fadhili Maganya amewasili mkoani Kilimanjaro kwa ziara ya siku nne ambapo atatembelea wilaya saba za mkoa huo kukagua miradi mbalimbali pamoja na kufanya mikutano na wananchi. Akizungumza mara baada ya kupokelewa Kia akitokea mkoani Arusha alisema kuwa, chama kitaendelea kupokea kero za wananchi na…
Arusha. Serikali kupitia wasimamizi wa uchaguzi, imetoa maelekezo ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka 2024 unaotarajia kufanyika Novemba 27 mwaka huu. Maelezo ya uchaguzi huo unaolenga kuwapata wenyeviti wa mitaa na wajumbe watano wa kamati za mitaa katika mamlaka za miji na vijiji, umetolewa leo Septemba 26, 2024 ikiwa ni siku 62 kabla…
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali ina nia ya kuimarisha miundombinu ya maghala ya kuhifadhia mafuta kwenye bandari za Tanga na Mtwara. Amesema hayo leo Juni 19, 2024 jijini Dodoma wakati akizungumza na Mbunge wa Bunge la Maldives, Mhe. Ibrahim Muhammad. “Kwa miaka miwili sasa Tanzania inashirikiana…
Simiyu: Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT), kimeingia lawamani baada ya kudaiwa kuwachangisha fedha wakulima kutoka kila kanda kwa ajili ya maandalizi ya Kongamano la Wafugaji Tanzania. Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT), Thomas Nkola maarufu, Mkulima amepinga uamuzi huo akidai kuwa kongamano hilo linaandaliwa na Wizara ya Kilimo na Uvuvi na…
MADEREVA wa Tanzania, Yassin Nasser na Prince Charles Nyerere wanaingia vitani leo mjini Mbarara ambako raundi ya pili ya mashindano ya mbio za magari ubingwa wa Afrika yanaanza kwa mbio za mchujo. Watanzania wanachuana na madereva wengine 51 kutoka nchi za Kenya, Rwanda, Ethiopia na wenyeji Uganda katika mashindano ambayo yanachezwa kwa mara ya kwanza…
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Omolo ameipongeza Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) kwa kuanzisha Moduli ya kuwasilisha na kushughulikia Malalamiko kwa njia ya kieletroniki. Bi. Omolo ametoa Pongezi hizo wakati alipotembelea Banda la PPAA katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam. Pamoja…
Ni Headlines za Mabingwa wa vifaa vya kielectronic ‘Haier’ wamezindua tawi lao litakalokuwa likipatikana Rock City Mall Gorofa ya kwanza Mkoani Mwanza. Sasa Kwa wakazi waishio maeneo ya jirani Mkoani humo wakifika kwenye Mall hiyo wataweza kujipatia bidhaa mbalimbali za kieletronic ikiwemo TV, Friji, Majiko na Jezi mpya za Young Africans Msimu wa 2024/25. Kampuni…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea mfano hundi ya Shilingi milioni 30 kutoka Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kwa ajili ya kuunga mkono shughuli za kilimo biashara kwenye hafla ya kufunga mafunzo ya Tamasha la Kizimkazi katika uwanja wa Mwehe Makunduchi Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 20 Agosti, 2024….
TIMU ya taifa ya wanawake ya Futsal, leo Jumatatu itashuka Uwanja wa Sportif Prince Moulay Abdallah, huko Morocco kukipiga dhidi ya Cameroon katika mchezo wa nusu fainali ya mashindano ya mchezo huo kuwania Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake. Tanzania ilitinga nusu fainali kwa kumaliza kinara wa Kundi C baada ya mechi mbili kuvuna…