Mafuru afariki dunia, Rais Samia aomboleza

Dar es Salaam. Aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Lawrence Mafuru amefariki dunia leo Jumamosi Novemba 9, 2024 katika Hospitali ya Apollo nchini India. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameomboleza kifo cha mafuru akitoa pole kwa familia na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji). “Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo…

Read More

Masahaba walivyopokea Mwezi wa Ramadhani-2

Toleo lililopita liliangazia namna Masahaba wa Mtume wa Allah walivyokuwa wakiupokea na kuukaribisha mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Nilionyesha namna walivyoupokea mwezi wa Ramadhani kwa furaha, kulipa saumu zao walizokuwa wakidaiwa huko nyuma, kuomba dua na kufanya maandalizi mbalimbali. Endelea… Kuzidisha usomaji wa Qur’ani Salama bin Kuhail alieleza kuwa mwezi wa Shaaban ni mwezi wa wasomaji…

Read More

Bodi yashusha neema ya mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu

*Bilioni 38 zaongezwa kuondoa ukata kwa wanafunzi kutoka 200,000 hadi 530,000 Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Serikali kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu Juu (HESLB) kwa mwaka wa masomo 2024/2025 imetanga Shilingi bilioni 787 Kwa ajili ya jumla ya wanafunzi 245,799. Hayo ameyasema Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi hiyo Dkt.Bill Kiwia wakati akitangaza orodha ya…

Read More

RAFIKI WA MWALIMU NI MWALIMU MWENZAKE – DKT. MSONDE

Naibu katibu Mkuu, Ofisi ya Rais TAMISEMI (Elimu) Dkt Charles Msonde amewataka walimu wa shule za msingi na sekondari kuwa na tabia ya kupendana wao kwa wao na kuwa marafiki kwa kushirikiana katika maeneo mbalimbali ili kuweza kudfanikisha mambo yao kwa Pamoja. Dkt. Msonde amesema haya katika kikao cha Pamoja kati ya walimu hayo, Maafisa…

Read More

Wanakitongoji wachangishana kununua eneo la maziko

Tabora.  Wakazi wa Kitongoji cha Milembela, Uyui, Manispaa ya Tabora, wameamua kuchanga fedha kununua eneo maalumu la kuzikia baada ya awali kuzika ndugu zao katika makaburi ya Mtendeni, kutokana na kitongoji chao kukosa eneo hilo. Akizungumza na Mwananchi leo Agosti 10, Seleman Khamis, mkazi wa Milembela, amesema kitongoji chao hakikuwa na eneo la kuzikia, hivyo…

Read More

Simba, Tanzania Prisons mechi ya mtego

KOCHA Fadlu Davids kesho ana kazi ya kuiongoza Simba kurekebisha ilipokosea mechi iliyopita itakapoikaribisha Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa KMC Complex, Dar kuanzia saa 10 jioni. Fadlu ambaye anapambana kuirudisha Simba kileleni mwa msimamo wa ligi, alishuhudia mechi iliyopita wakiambulia sare ya 1-1 ugenini dhidi ya Fountain Gate –…

Read More

Wanamichezo wakimbizi walenga kutimiza ndoto zao Paris – DW – 24.07.2024

Kamati ya kimataifa ya Olimpiki imewaorodhesha wanamichezo 37 wakimbizi katika mashindano ya olimpiki ya mwaka huu yanayoanza siku ya Ijumaa. Bruce Amani anaiangazia timu hiyo ya wakimbizi pamoja na maandalizi jumla ya michezo ya Olimpiki.)) Wanariadha hao, kutoka nchi zikiwemo Syria, Sudan, Cameroon, Ethiopia, Iran na Afghanistan, watashiriki katika michezo 12 tofauti mjini Paris, ikiwa…

Read More