Wajasiriamali kituo cha Magufuli walalama kukosa wateja

Dar es Salaam. Wajasiriamali wanaofanya shughuli zao kwenye Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli jijini hapa wameeleza wamiliki wa mabasi kutoshusha na kupakia abiria katika kituo hicho kunavyosababisha biashara zao kudorora. Wasema biashara zao zinategemea wateja ambao ni abiria, kutokana na mabasi kutoingia kituoni hapo wanakosa wateja na mapato yao yanashuka, hivyo kuiomba Halmashauri ya…

Read More

WAFUGAJI NCHINI WATAKIWA KUFUGA KISASA KULETA MAENDELEO

*Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali imeandaa mpango wa mageuzi ya sekta ya mifugo ambao utasaidia kupata ufumbuzi wa changamoto zinazoikabili sekta ya mifugo nchini. Ameitaka Wizara ya Mifugo na Uvuvi kubuni mbinu na mikakati ya kuondokana…

Read More

Silinde atoa ‘dawa’ mgogoro shamba la mbegu Ngaramtoni

Arusha. Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde ameuagiza Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA), kuhakikisha kandarasi ya kuweka uzio katika shamba la mbegu lililopo eneo la Ngaramtoni, wilayani Arumeru inatangazwa haraka. Amesema hiyo inaweza kuwa dawa ya kusaidia kumaliza au kuepusha migogoro ikiwemo ya uvamizi wa shamba hilo. Silinde ametoa maagizo hayo leo Jumapili Juni…

Read More

Nani kucheza Ligi Kuu Bara, Championship 2024-25?

Mchezo wa mkondo wa pili wa Play Off kati ya Tabora United dhidi ya Biashara United Mara unachezwa leo katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora. Mchezo huo utategua kitendawili cha nani atacheza Ligi Kuu Bara na Ligi ya Championship msimu ujao 2024-25. Mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa Uwanja wa Karume mkoani Mara,…

Read More

Wawili wafa ajalini 16 wajeruhiwa Mafinga

Mafinga. Watu wawili wamefariki dunia na wengine 16 kujeruhiwa akiwemo mtumishi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Evance Lusinde (37). Ajali hiyo imetokea leo Jumapili Juni 16, 2024 baada ya gari kuacha njia na kupinduka eneo la Majinja Changarawe katika Halmashauri ya Mji Mafinga mkoani Iringa. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa,…

Read More

Sababu tano zilizoipa Simba ubingwa WPL

Msimu wa 2023/2024 kwa wanawake ulimalizika juzi wakati ambapo Simba Queens ilifanikiwa kutwaa ubingwa bila kupoteza mchezo wowote. Simba ilichukua ubingwa huo wiki moja kabla ligi haijamalizika jijini Mwanza baada ya kuichakaza Alliance Girls kwa mabao 3-0 na kukata tiketi ya kushiriki michuano ya kimataifa kwa ajili ya msimu ujao. Timu hiyo ilibeba ubingwa kwenye…

Read More

Hizi hapa sifa za baba bora

“Inawezekana vipi nyumbani nawaacha watoto na mama yao halafu ikitokea wamefanya makosa anashindwa kuwaadhibu anasubiri hadi mimi nirudi. Unarudi usiku unapewa kesi ya mtoto iliyofanyika tangu asubuhi unalazimika kuadabisha ili akae kwenye mstari. “Hili nimelifanya kwa muda mrefu ila naona hatari yake, watoto watanichukia yani mimi ndiyo naonekana katili halafu mama yao ni mtu mwema…

Read More