INEC yapuliza kipyenga kingine uandikishaji wapigakura

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji wa Rufaa, Jacobs Mwambegele ametangaza ngwe ya pili ya uboreshaji wa daftari la kudumu la mpigakura litakaloanza Mei 1 na kutamatika Julai 4, 2025. Mchakato huo umefunguliwa baada ya kukamilika mzunguko wa kwanza, ulioanza Julai 20,2024 hadi Machi 25,2025 ikiwa ni utekelezaji…

Read More

Hatimiliki za ardhi kupunguza migogoro Tarakea

Rombo. Wakati Serikali ikitoa hatimiliki za ardhi zaidi ya 250 kwa wananchi katika mji wa Tarakea, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, wananchi hao wameishukuru Serikali huku wakieleza kwamba itapunguza migogoro ya ardhi kwenye maeneo yao. Wakizungumza na Mwananchi leo Septemba 22, 2024, wananchi hao wamesema migogoro ya ardhi imekuwa ni kichocheo kikubwa cha matukio ya…

Read More

Shule za ufadhili nchini Afghanistan, kilimo cha mwani katika Amerika ya Kusini, ukame nchini Somalia – maswala ya ulimwengu

Shirika hilo linapanga kupata tani zaidi ya tani 1,200 za biskuti zenye maboma, ambazo zitatoa wasichana na wavulana wa miaka 200,000 wa shule kwa karibu miezi mitatu. “Kwa watoto wengi, vitafunio vya kila siku wanaopokea katika mapumziko ya kwanza ya siku mara nyingi huwa chakula chao tu, kuwapa nguvu ya kukaa na afya, umakini, na…

Read More

IDADI YA WATALII YAONGEZEKA PUGU- KAZIMZUMBWI,WAFIKIA 21,248- MTEWA

IDADI ya watalii wanaotembelea Msitu wa Hifadhi ya Pugu-Kazimzumbwi, wilayani Kisarawe ,mkoani Pwani imeongezeka na kufikia watalii 21,248 kwa mwaka 2023/2024. Aidha, mapato yaliyopatikana kutokana na watalii hao ni kiasi cha sh.milioni 222. Akizungumzia ongezeko la watalii na mapato katika hifadhi hiyo, Meneja Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) wilayani Kisarawe, Mhifadhi Baraka Mtewa alisema, kwasasa…

Read More

Haaland, Raizin katika vita mpya

MSHAMBULIAJI wa TMA, Abdulaziz Shahame ‘Haaland’ amesema vita yake iliyopo ya ufungaji na nyota wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh inamfanya kutobweteka bali kuendelea kupambana zaidi, huku akieleza kila mchezo kwake anauchukulia kwa usiriaz. Kauli yake inajiri baada ya nyota hao kupishana mabao mawili, Shahame akifunga mabao 12 huku Raizin ambaye ndiye kinara akiwa na 14,…

Read More

Tabora yaachana na Kocha Mkongomani, yamchukua Mzimbabwe

UONGOZI wa Tabora United, umefikia makubaliano ya kuachana na kocha mkuu wa timu hiyo, Anicet Kiazayidi huku nafasi yake ikichukuliwa na Mzimbabwe, Genesis Mangombe. Haijafahamika sababu za kuvunjwa kwa mkataba wa kocha huyo raia wa DR Congo ambaye hivi karibuni alirejea nchini kwao kwa ajili ya kufanya kozi ya refresh. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani…

Read More