Tangulia Chifu Ferdinand Kamuntu Ruhinda

TAIFA liko msibani. Usiku wa juzi Ijumaa, saa 3:00 usiku alifariki dunia mmoja wa Watanzania walioweka alama ya pekee katika historia ya taifa letu, Balozi Chifu Ferdinand Kamuntu Ruhinda (1938-39). Balozi Ruhinda anayetoka katika familia ya uchifu ni Mwandishi wa Habari kitaaluma na mwanadiplomasia. Alipata elimu yake ya uandishi wa habari katika Chuo Kikuu cha…

Read More

Rais Samia afanya uteuzi abadilisha msemaji wa Serikali

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali, akimteua Thobias Makoba kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali. Kabla ya uteuzi, Makoba alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano serikalini, Ofisi ya Msajili wa Hazina. Makoba anachukua nafasi ya Mobhare Matinyi ambaye amepangiwa majukumu mengine. Kwa mujibu…

Read More

MERIDIANBET YATOA MSAADA ZAHANATI KIBAHA

KAMPUNI ya Meridianbet leo imefika maeneo ya Kibaha katika Zahanati inayofahamika kama Misugusugu na kutoa msaada wa vifaa mbalimbali vitakavyosaidia kwenye Zahanati hiyo. Kampuni hiyo kongwe imekua ikijaribu kutatua changamoto mbalimbali ambazo zimekua zikiikabili jamii yake, Hivo leo wameona Zahanati hiyo inayopatikana eneo la Kibaha ndio yenye uhitaji na wakafanikiwa kutoa msaada. Vifaa ambavyo vimeweza kutolewa leo…

Read More

MTU WA M PIRA: | Mwanaspoti

KUNA mambo mengi yanaendelea ndani ya Simba. Ilianza na wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi kujiuzulu. Baadaye akaja Mwenyekiti Salim Abdallah Muhene ‘Try Again’. Ni historia. Ni muda mrefu hatujaona viongozi wa Klabu hizi kubwa nchini wakiwajibika baada ya mambo kwenda ndivyo sivyo. Kina Try Again na wenzake wanapaswa kupongezwa. Baada ya hapo ikaja taarifa ya…

Read More

Rais Samia amng’oa Matinyi Serikalini, ateua viongozi mbalimbali

Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwamo Thobias Makoba kuwa Mkurugenzi wa ldara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wva Serikali. Kabla ya uteuzi, Makoba alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Ofisi ya Msajili wa Hazina.   Makoba anachukua nafasi ya Mabhare Matinyi ambaye amepangiwa majukumu mengine. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea)….

Read More

Polisi watawanya wananchi kwa mabomu ya machozi

Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, limelazimika kutumia mabomu ya machozi, kuwatawanya wananchi waliokuwa wamevamia lori lililokuwa limebeba mafuta ya kula, lililopata ajali, eneo Njoro, Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro. Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa leo Juni 15, 2024 imesema gari hilo lililokuwa limebeba mafuta ya kula aina…

Read More

JESHI LA POLISI LIMESAMBAZA ASKARI KATA 3945 ILI KUHAKIKISHA USALAMA WA WENYE UALBINO NCHINI

Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi( SACP) Ralph Theobald Meela akipokea tuzo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge. Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi( SACP) Ralph Theobald Meela akizungumza  kwenye kelele hicho. Na Khadija Kalili, Michuzi Tv MKUU wa jeshi la Polisi nchini IGP Inspekta Jenerali Camilius Wambura amesema Jeshihilo nchini tayari limesambaza Askari…

Read More

Yanga yamuita Mpole mezani | Mwanaspoti

MABOSI wa Yanga wakiendelea kumfuatilia kwa ukaribu Phillipe Kinzumbi wa TP Mazembe ya DR Congo aliyedaiwa kusaini kwa mabingwa wa Morocco, Raja Casablanca, lakini wanapiga hesabu kali mpya katika kusuka safu ya ushambuliaji ikidaiwa imeanza mazungumzo kumbeba Mfungaji Bora wa zamani wa Ligi Kuu Bara, George Mpole. Ishu ya Kinzumbi bado ni tetesi tu, kwani…

Read More

Rais Samia akemea ubabe wa Ma-RC, Ma-DC

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza kusikitishwa na baadhi ya wakuu wa mikoa na wa wilaya kupuuza utekelezaji wa waraka wa Serikali unaoelekeza na kusisitiza uzingatiaji wa sheria na kanuni wakati wa kutumia mamlaka yao ya kukamata watu. Amesema licha ya waraka huo uliotolewa mwaka 2023 na Katibu Mkuu Kiongozi Moses Kusiluka, bado…

Read More

UVCCM WATAKA MTANDAO WA ‘X’ UCHUKULIWE HATUA

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Nasra Ramadhan akizungumza na waandishi wa habari jijjni Dar es Salaam leo Juni 15, 2025, baada ya kukerwa na baadhi ya maudhuii ya Ngono yanayorushwa na Mtandao wa Kijamii wa ‘X’. UMOJA wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam (UVCCM), kwa kuungana…

Read More