Kigoda cha taaluma cha Sheikh Karume chazinduliwa

Unguja. Wakati kikizinduliwa Kigoda cha taaluma cha Sheikh Abeid Amani Karume katika ukombozi wa maendeleo ya Afrika, Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi na marais wastaafu wameeleza umuhimu wa vigoda, wakisisitiza kujikita katika kufanya tafiti. Kigoda hicho kimezinduliwa leo Juni 15, 2024 na Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi, katika Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar…

Read More

Mbonekae gumzo Sokoine,  Mgunda ampa tano Mwamnyeto

ACHANA na matokeo ya ushindi wa mabao 2-1 iliyopata timu Mwamnyeto dhidi ya Mbeya All Stars,  burudani ilikuwa kwa mchekeshaji, Oscar Mwanyanje  ‘Mc Mboneke’ aliyeteka mashabiki kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini hapa, jioni ya leo Jumamosi, licha ya kwamba aligusa mpira mara tu uwanjani. MC Mboneke aliingia uwanjani hapo dakika ya 90 akichukua nafasi ya…

Read More

DAWASA yaja na suluhisho la maji kwa wakazi wa Sinza C,D

Wakazi wa Kata ya Sinza, Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam wametolewa hofu ya upatikanaji wa huduma ya maji kwenye maeneo yao kutokana na jitihada kubwa zinazotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) za kufikisha huduma ya maji kwa uhakika. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Diwani Kata ya Sinza,…

Read More

Vijana wahofia usalama matumizi ya mitandao

Dar es Salaam. Asilimia 80 ya vijana waliohojiwa katika utafiti wa ulinzi na usalama mitandaoni wamesema hawapo salama. Hayo yamebainika leo Jumamosi Juni 15, 2024 katika mdahalo wa vijana na matumizi ya mitandao ulioenda sambamba na uzinduzi wa ripoti ya utafiti uliyofanywa na Shirika la Mulika Tanzania linalojishughulisha na masuala ya vijana. Ofisa Uchechemuzi na…

Read More

Kocha wa zamani Simba, atua Pamba Jiji

KOCHA wa zamani wa klabu za Simba na Tabora United, Goran Kopunovic ametambulishwa rasmi kuwa Kocha Mkuu wa timu iliyopanda Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao, Pamba Jiji akipewa mkataba wa mwaka mmoja. Akizungumza na Mwanaspoti, Meneja wa Pamba, Ezekia Ntibikeha amesema timu hiyo imempa Goran mkataba wa mmoja wenye kipengele kumuongeza iwapo atafanya kweli…

Read More