
DKT. NCHEMBA AWASILISHA BUNGENI MUSWADA WA SHERIA YA FEDHA
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) amewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya fedha wa mwaka 2025 baada ya hapo jana Bunge kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali ya shilingi trilioni 56.49 kwa mwaka wa Fedha 2025/2026. Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba(Mb) akiwasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya fedha wa mwaka…