Control namba yakwamisha kesi iliyodumu kwa siku 3,000

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imechukizwa na kitendo cha mtu anayehusika kutoa namba ya malipo (control number) kwa ajili ya mshtakiwa Dilipkumar Maganbai Patel, kulipa faini kuchukua mwezi mzima kutoa namba hiyo. Patel anakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 58/2016 yenye mashtaka mawili likiwamo la kusafirisha vipande 17 vya kucha za…

Read More

Maxime amvuta Nizar Dodoma Jiji

BAADA ya Dodoma Jiji kufikia makubaliano na aliyekuwa Kocha wa Singida Black Stars, Mecky Maxime ili kuinoa timu hiyo msimu ujao, tayari amependekeza jina la Nizar Khalifan ili akawe msaidizi wake ndani ya kikosi hicho cha walima Zabibu. Mwanaspoti linatambua licha ya Maxime kutotangazwa hadi sasa ila tayari amesaini mkataba wa miaka miwili huku akiwa…

Read More

Mwili waopolewa Ziwa Victoria, polisi wahusishwa

Muleba. Familia ya Baraka Lucas aliyekutwa amekufa, mwili ukielea juu ya maji katika Ziwa Victoria, imegoma kuuzika ikitaka Jeshi la Polisi kueleza chanzo cha kifo chake. Lucas (20), mwili wake umekutwa ziwani katika Kisiwa cha Goziba wilayani Muleba, mkoani Kagera. Kijana huyo aliyekuwa akifanya kazi ya kubeba dagaa wabichi katika mwalo kisiwani hapo, mwili wake…

Read More

Zimamoto yabadili upepo ubingwa ZPL

UPEPO umebadilika baada ya Zimamoto kupata ushindi wa tatu mfululizo ndani ya Juni katika Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL) na kuipumulia JKU inayoongoza msimamo wa ligi hiyo kwa muda mrefu, zikitenganishwa kwa pointi moja tu kwa sasa, huku zikisalia mechi za raundi mbili tu kufunga msimu. Ushindi huo wa juzi uliopatikana kwenye Uwanja wa Mao…

Read More

Mchezaji wa zamani wa Arsenal na Everton Kevin Campbell amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 54 baada ya kukimbizwa hospitalini.

Gwiji wa Arsenal na Everton Kevin Campbell amefariki dunia baada ya kukimbizwa hospitalini. Heshima za kihemko sasa zinamiminika kwa mzee huyo wa miaka 54 ambaye alifurahia kwa miongo miwili kucheza kandanda ya kulipwa na tangu wakati huo amekuwa mchambuzi. Campbell, mshambuliaji, aliichezea Arsenal mechi 213 kati ya 1988 na 1995, akifunga mabao 59 katika mashindano…

Read More

Tanzia: Tangulia Chifu Ferdinand Kamuntu Ruhinda

Taifa liko msibani. Usiku wa Ijumaa majira ya saa 3:00 usiku, Juni 14, 2024, alifariki dunia mmoja wa Watanzania walioweka alama ya pekee katika historia ya Taifa letu, Balozi Chifu, Ferdinand Kamuntu Ruhinda (1938-39). Balozi Ruhinda anayetoka katika familia ya uchifu ni mwandishi wa habari kitaaluma na mwana diplomasia. Alipata elimu yake ya uandishi wa…

Read More

Wito wa Uhispania na Uturuki wa Kusimamisha Vita huko Gaza Katika siku za hivi karibuni, Uhispania na Uturuki kwa pamoja zimetoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua kukomesha mzozo unaoendelea Gaza. Hali katika Ukanda wa Gaza imekuwa suala la muda mrefu na tata, linaloashiria mizunguko ya mara kwa mara ya ghasia kati ya Israel na makundi ya Wapalestina. Kuongezeka kwa uhasama hivi karibuni kumesababisha hasara kubwa ya maisha, uharibifu wa miundombinu, na mateso makubwa kwa raia wa pande zote mbili. Mzozo wa Gaza umekita mizizi katika mizozo ya kihistoria, kisiasa na kieneo. Kimsingi inahusu mzozo wa Israel na Palestina, huku Gaza ikiwa kitovu cha mvutano kutokana na eneo lake la kijiografia na kuwepo kwa makundi mbalimbali ya wanamgambo. Eneo hilo limekumbwa na vita vingi na operesheni za kijeshi kwa miaka mingi, na kusababisha uharibifu mkubwa na migogoro ya kibinadamu. Uhispania na Uturuki, kama nchi mbili zenye ushawishi na uhusiano wa kidiplomasia na Israeli na Palestina, zimechukua msimamo wa kutaka kusitishwa mara moja kwa uhasama huko Gaza. Wamesisitiza haja ya mazungumzo, kupunguza kasi na kuheshimu sheria za kimataifa ili kushughulikia chanzo cha mzozo huo na kuzuia umwagaji damu zaidi. Wito uliotolewa na Uhispania na Uturuki unasisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kimataifa na mshikamano katika kutatua migogoro kama ile ya Gaza. Umoja wa Mataifa, mashirika ya kikanda, na nchi binafsi zina jukumu muhimu la kutekeleza katika kuwezesha mazungumzo ya amani, kutoa msaada wa kibinadamu, na kukuza suluhisho la haki na la kudumu ambalo linashikilia haki za pande zote zinazohusika.

Wito wa Uhispania na Uturuki wa Kusimamisha Vita huko Gaza Katika siku za hivi karibuni, Uhispania na Uturuki kwa pamoja zimetoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua kukomesha mzozo unaoendelea Gaza. Hali katika Ukanda wa Gaza imekuwa suala la muda mrefu na tata, linaloashiria mizunguko ya mara kwa mara ya ghasia kati ya Israel…

Read More

Balozi Ruhinda afariki dunia | Mwananchi

Dar es Salaam. Mmoja wa waasisi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Balozi Ferdinand  Ruhinda (86) amefariki dunia leo Juni 15, 2024 nyumbani kwake Masaki, Dar es Salaam kutokana na maradhi ya kisukari. Mdogo wa marehemu, Edward Ruhinda amethibitisha kutokea kwa kifo cha kaka yake akisema ameugua kwa muda mrefu na amekuwa akihudumiwa na…

Read More

Vitalu 19 vya madini vyazalisha ajira 12,000 Songwe

ZAIDI ya vijana 12,000 kutoka Wilaya ya Songwe mkoani Songwe wamepata fursa ya ajira katika migodi ya wachimbaji wadogo na wa kati baada ya Serikali kugawa vitalu 19 kwa wachimbaji hao ili kuhochea ukuaji wa uchumi pamoja na kupunguza migogoro na uhalifu katika jamii ya wachimbaji. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe… (endelea). Akizungumza na MwanaHALISI Online…

Read More