
Control namba yakwamisha kesi iliyodumu kwa siku 3,000
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imechukizwa na kitendo cha mtu anayehusika kutoa namba ya malipo (control number) kwa ajili ya mshtakiwa Dilipkumar Maganbai Patel, kulipa faini kuchukua mwezi mzima kutoa namba hiyo. Patel anakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 58/2016 yenye mashtaka mawili likiwamo la kusafirisha vipande 17 vya kucha za…