
MACHIFU WATAKA AMANI NA MAADILI YALINDWE
Mwenyekiti wa Machifu Tanzania Chifu Antonia Matalu akizungumza kwenye mjadala wa Machifu kuhusu mustakabali wa Tanzania kwenye masuala ya amani, mila na desturi, katika mkutano uliofanyika mjini Songea MKUU wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed akisalimiana na Machifu wakati wa Tamasha la Kitaifa la tatu la Utamaduni litakalofanyika uwanja wa Majimaji Manispaa…