
Mashujaa inayokuja itakuwa kali | Mwanaspoti
PAMOJA na kutaja kufikia malengo ya kubaki Ligi Kuu, uongozi wa Mashujaa FC umesema msimu ujao hautaki tena presha ya kusubiri mechi za mwisho kukwepa kushuka daraja, huku ukitangaza kuongeza bajeti kutafuta nafasi nne za juu. Mashujaa ambayo ilishiriki Ligi Kuu kwa mara ya kwanza licha ya kumaliza nafasi ya nane kwa pointi 35, lakini…