Wakongo wampasua kichwa Ibenge azam

KOCHA wa Azam FC, Florente Ibenge amesema waamuzi wameikwamisha kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo waliyotoka sare ya bao 1-1, lakini hilo ameachana nalo na sasa akili yake iko DR Congo akiwaza namna watakavyotoka na poiti tatu, huku akifungukia ubora wa AS Maniema akifahamu kwamba wapinzani wao hao wana timu yenye rekodi…

Read More

Umelala Mhagama, kikokotoo ulipambania | Mwananchi

Dodoma. Ungekuwa ni mchezo wa mpira hapa tungeuliza, eti Zungu umepigaje hapo? La hasha, huu si mpira, na huyu siyo Zungu bali ni Spika wa Bunge, Mussa  Zungu lakini alichofanya ni kuutangazia umma kuhusu msiba wa Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama. Masikini! Mhagama hayupo, Bunge la Januari 2026 hatutamuona mjengoni, hataonekana Peramiho na Ruvuma nzima,…

Read More

Viongozi wa dini watakiwa kusimamia ukweli, kutokuwa waoga

Dar es Salaam. Viongozi wa dini nchini wamehimizwa kusema ukweli kuhusu mambo yanayotokea katika jamii kwa kuwa wao wanaaminiwa na Watanzania, hivyo wasiogope kutishwa. Hayo yamebainishwa na wadau mbalimbali kwenye mkutano wa Jukwaa la Dini Mbalimbali uliofanyika jana Novemba 7, 2024 jijini Dar es Salaam ukiwakutanisha viongozi wa dini, wanazuoni na asasi za kiraia. Jukwaa…

Read More

Seine-sational! Paris yatoa kwaheri ya ushindi kwa Olimpiki – DW – 12.08.2024

Cruise aliteremka kwenye waya mbele ya watazamaji 71,500, akashika bendera ya olimpiki na kurukia pikipiki, tukio lililowachangamsha wanariadha na mashabiki waliofurika katika uwanja wa Stade de France. Katika dondoo ya kile ambacho ulimwengu unaweza kutarajia wakati Michezo hiyo itakapoelekea Los Angeles mnamo 2028, nyota huyo wa “Mission Impossible” kisha alionyeshwa akipanda ndege na kuruka angani…

Read More

Wanandoa kuweni kama maji na samaki, mfaidi

 Je, unakijua kisa cha samaki na maji? Viumbe wote walipoumbwa, walichagua sehemu za kuishi.  Wapo waliokwenda mwituni. Wapo waliochagua kufanya kazi usiku na kupumzika mchana. Samaki alichagua maji na maji yalimchagua yeye.  Siku moja, samaki alivuliwa akayaambia maji: “Mpenzi wangu buriani maana, hatutaonana tena.” Maji nayo yalijibu: “Mpenzi huna haja ya kuniaga maana, nitakuwa nawe…

Read More

Saba kortini wakidaiwa kuingiza tani 11 za dawa za kulevya

Dar es Salaam. Washtakiwa saba, wakiwemo raia wa Sri Lanka wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka moja la kuingiza sampuli za dawa za kulevya aina ya mitragyna speciosa zenye uzito wa kilo 11,596. Dawa hizo zinaelezwa kuwa na madhara sawa na heroini, kokeini na methamphetamine. Miongoni mwa madhara yake kwa watumiaji…

Read More

KenGold, Kagera Sugar na mtihani mzito nyumbani

RAUNDI ya 24 ya Ligi Kuu Bara inaendelea Alhamisi hii kwa michezo mitatu kupigwa huku miwili ikiwa ya mapema kuanzia saa 10:00 jioni na mmoja saa 1:00 usiku. Katika michezo hiyo ya leo, zinasakwa pointi za kujiweka katika mazingira mazuri kwenye msimamo wa ligi hiyo kwani atakayepoteza kuna hatari ya kujiondoa kwenye malengo yake. Kati…

Read More

Bosi Yanga apiga mkwara, hakuna wa kuwashusha

Uongozi wa klabu ya Yanga umeahidi usajili bora zaidi msimu ujao na kuweka wazi kuwa hakuna timu ya kuwashusha kwa mafanikio waliyoyapata misimu minne mfululizo. Hersi Said, rais wa Yanga ameyasema hayo makao makuu ya klabu alipokuwa akizungumza na nyomi ya mashabiki waliojitokeza kufurahia ubingwa ilioupata timu yao. Hersi amesema wachezaji walioondoka na watakaondoka wao…

Read More