
ERNST& YOUNG: BAJETI YA SERIKALI NISHIRIKISHI KATIKA MCHAKATO WA UKUSANYAJI MAPATO
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Ernst & Young, Joseph Sheffu akizungumza wakati wa kuchambua Mapendekezo ya bajeti ya Serikali ya 2024/ 2025. uchambuzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam Juni 14, 2024.Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Ernst & Young, Joseph Sheffu, akizungumza wakati wa kuchambua Mapendekezo ya bajeti ya Serikali ya 2024/ 2025. uchambuzi huo…