Utekaji wagombea waibuka mjadala kanuni za uchaguzi

Dodoma. Wadau wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa wametoa angalizo kuhusu mchakato wa uteuzi wa wagombea, wakitaka uchunguzi wa mazingira ya uwepo wa mgombea mmoja. Hili limeelezwa wakati Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) ikiwa imetoa rasimu za kanuni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba, mwaka huu. Angalizo…

Read More

Gharama kikwazo matibabu kwa wenye tatizo la afya ya akili

Dar es Salaam. Gharama za matibabu na unyanyapaa ni baadhi ya vikwazo vinavyotajwa kutatiza watu wenye changamoto ya afya ya akili kupata huduma za afya. Imeelezwa kuwa  wagonjwa hushindwa kugharimia huduma kutokana na ugumu wa maisha jambo linalochangia ndugu kuwatekeleza wodini kwa muda mrefu. Changamoto hizo zimeelezwa na Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Akili…

Read More

Dortmund yamtema kocha Terzic | Mwanaspoti

DORTMUND, UJERUMANI: BORUSSIA Dortmund imetangaza kuachana na kocha Edin Terzic baada ya pande mbili kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba. Jambo hilo limetokea ikiwa umepita muda usiozidi wiki mbili tangu Dortmund ilipocheza fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na kuchapwa mabao 2-0 na Real Madrid kwenye kipute kilichofanyika Wembley. Hata hivyo, pande hizo mbili zimefikia makubaliano…

Read More

Tozo ya gesi ya magari changamoto, Bunge laombwa kuiondoa

Dar es Salaam. Hatua ya Serikali kutaka kukusanya Sh9.5 bilioni kutoka kwa watumiaji wa magari yatumiayo gesi asilia iliyokandamizwa (CNG) imeibua mjadala, wasiwasi ukiwa ni kuzorotesha kasi ya watu wanaohama kutoka katika matumizi ya mafuta ambayo bei yake imekuwa na changamoto lukuki. Tangu kuanza kwa vita ya Russia na Ukraine na baadaye changamoto ya uhaba…

Read More

TGNP, WADAU WA MAENDELEO WAICHAMBUA BAJETI YA SERIKALI

Na mwandishi wetu, Dar es Salaam Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) kwa kutambua umuhimu wa ushiriki wa wananchi katika michakato ya bajeti na michakato ya maendeleo kwa ujumla umekuwa ukishirikiana na wadau mbalimbali katika kuhakikisha kwamba wananchi wanashiriki ipasavyo katika michakato hiyo pamoja na kutathimini mipango ya maendeleo ya taifa letu. Hayo yamesemwa Ijumaa Juni…

Read More

Mkwabi avunja ukimya Simba, afichua shida iliopo

WAKATI hali ya sintofahamu ikiendelea ndani ya Simba ikiwamo kujiuzulu kwa baadhi ya viongozi, Mwenyekiti wa zamani wa klabu hiyo, Swedi Mkwabi  amevunja ukimya na kusema kinachoenelea sio sahihi na kuwataka viongozi wote kukaa chini na kumaliza tofauti zao ili kujenga umoja. Hivi karibuni wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba akiwamo mwenyekiti wake, Salim…

Read More