Father: Bocco karusha taulo mapema!

SIKU chache baada ya Simba kutangaza kumtema aliyekuwa nahodha wa timu hiyo, John Bocco ambaye kwa sasa ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa timu ya vijana ya klabu hiyo U17, makocha kadhaa akiwamo Idd Pazi ‘Father’ amedai kushangazwa na nyota huyo kutupa taulo mapema. Pazi, nyota wa kimataifa wa Tanzania aliyewahi kuwika na Majimaji, Simba na…

Read More

Wachumi wapinga wananchi kukatwa Sh100 kwenye simu

Dar es Salaam. Wataalamu wa uchumi nchini wamesema iwapo kodi na tozo zitaendelea kuongezwa kwa wananchi ambao ndiyo wazalishaji wa mali, uchumi wa nchi hauwezi kukua. Wameeleza kuwa msingi wa uchumi ni kuwaachia wananchi fedha ili wazitumie katika kufanya biashara, miamala na uwekezaji, “badala ya kuzipeleka serikalini kwa njia ya tozo nyingi zisizo na tija”….

Read More

Ahoua aingia kibabe anga za Maxi

KAMA usingizi ambao mashabiki wa Simba wanaupata, basi ni hivi sasa ambapo mambo ndani ya chama lao yanaonekana kuanza kuwaendea vyema, huku kwa watani zao, Yanga kukiwa hakujatulia kufuatia kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Tabora United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Lakini, wakati mambo yakiwa hivyo, nyota mpya wa Wekundu wa Msimbazi, Jean…

Read More

JKT laita vijana waliomaliza kidato cha sita kambini

Dodoma. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limewataka wazazi wa vijana wanaoitwa kujiunga na mafunzo kwa mujibu wa sheria mwaka 2024 wasikubali kutapeliwa kwa kutozwa fedha. Vijana waliomaliza kidato cha sita mwaka huu, wametakiwa kuripoti katika kambi za JKT kuanzia Juni Mosi hadi 7, 2024. Akizungumza leo Mei 24, 2024, Mkuu wa Tawi la Utawala wa…

Read More

Msala wa kwanza wa Mgunda Ligi Kuu

Siku moja baada ya kuachana na kocha wake Abdelhak Benchikha Simba inarudi uwanja  kwenye uwanja mgumu ugenini itakapokutana na wabishi Namungo ya Lindi. Simba baada ya kuondokewa na Benchikha aliyerusha taulo kwa sababu za kifamilia akiachana na timu hiyo, leo kikosi chao kitakuwa chini ya kocha wa Juma Mgunda ambaye atasaidiana na Seleman Matola. Matola…

Read More

Serikali yazindua Bodi ya kima cha chini cha mshahara

Dodoma. Serikali imeagiza bodi ya kima cha chini cha mshahara kuwasilisha mapendekezo ya viwango vya mishahara kwa kuzingatia hali halisi ya maisha na kuepusha migogoro makazini. Wito huo umetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene aliyesema mapendekezo hayo yanalenga kuwa na kiwango kitakachosaidia morali…

Read More

KAMPUNI YA SWALA SOLUTION YAWAJENGEA NYUMBA WALIMU MSALALA

Wafanyakazi wa Swala Solution na walimu wa shule ya msingi Nyangaka wakifurahia uzinduzi wa nyumba ya walimu Wafanyakazi wa Swala Solution na walimu wa shule ya msingi Nyangaka wakifurahia uzinduzi wa nyumba ya walimu Nyumba ya walimu iliyojengwa na kampuni ya Swala Mwakilishi wa kampuni ya Swala Solution, Raymond Warioba, akiongea katika hafla hiyo Walimu…

Read More