ANC yakubali kuungana na DA Afrika Kusini

Johannesburg. Baada ya vuta nikuvute kwa takribani wiki mbili, hatimaye Chama cha African National Congress (ANC) kimekubali kuungana na Democratic Alliance (DA) ili kuunda Serikali. Mapatano hayo yamekuja zikiwa zimepita mbili tangu uchaguzi kufanyika Mei 29, 2024 ukishindwa kutoa mshindi atakayeunda Serikali. Kwa mara ya kwanza tangu Serikali ya Wazungu wachache kusitishwa mwaka 1994, ANC…

Read More

Shine TTW ameachia EP ya maisha yake leo!

Mwimbaji mahiri ShineTTW, leo ametoa EP yake mpya iitwayo, ‘The Chosen One’, yenye ngoma zipatazo nane. EP hii sio tu mkusanyiko wa nyimbo nane, lakini ni ngoma zinayoonyesha talanta kubwa ya ShineTTW katika anga ya muziki ya Kiafrika. ‘The Chosen One’ ni EP inaonyesha mtindo wa msanii huyu wa Afro Sentio, ambaye anafanya muziki wa…

Read More

Kama vipi… Kombe la Kagame lichezwe nyumbani, ugenini

MASHINDANO yaliyoboreshwa na kuongezwa ukubwa ya Klabu Bingwa ya Dunia yaliyopangwa kufanyika Marekani mwakani, yameingia dosari baada ya klabu na ligi kuyapinga na kutishia kwenda mahakamani kwa hoja kuwa yanaongeza idadi ya mechi zinazovuruga ligi za nchi wanachama na pia kuweka rehani afya za wachezaji. Shirikisho la Kimataifa la Soka (Fifa) limeboresha mfumo na ukubwa…

Read More

Waandishi toeni taarifa sahihi juu ya zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura nchini

Kuelekea zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura nchini itakayo anza julai misi maka huy waaandishi wa habari wametakiwa kutumia majukwaa yao kutoa elimu na kuhamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha kuwa wapiga kura, Pamoja na kuboresha taarifa zao katika Daftari hilo ili waweze kupiga kura na kuchagua viongozi wanaowataka. Akizungumza  jijini Dar es…

Read More

Asilimia 30 bajeti ya Serikali itategemea mikopo, misaada

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikitarajia kupata na kutumia Sh49.3 trilioni katika mwaka wa fedha 2024/2025, jambo ambalo wengi wanaweza kujiuliza fedha hizo zitatoka wapi? Mwananchi imefanya uchambuzi wa bajeti kwa kuangalia vyanzo vya mapato katika bajeti hiyo, kitabu kilichosomwa bungeni jana Juni 13, 2024 kinaonyesha sehemu kubwa ya mapato yatatokana na mapato ya ndani…

Read More

Fedha za bajeti zitatoka hapa

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikitarajia kupata na kutumia Sh49.3 trilioni katika mwaka wa fedha 2024/2025, jambo ambalo wengi wanaweza kujiuliza fedha hizo zitatoka wapi? Mwananchi imefanya uchambuzi wa bajeti kwa kuangalia vyanzo vya mapato katika bajeti hiyo, kitabu kilichosomwa bungeni jana Juni 13, 2024 kinaonyesha sehemu kubwa ya mapato yatatokana na mapato ya ndani…

Read More

Man Utd yatangaza kuwekeza £50m huko Carrington.

Manchester United itaanza kazi ya kurekebisha jengo la timu ya kwanza ya wanaume kuwa la kisasa kwenye Uwanja wa Mafunzo wa Carrington wiki ijayo, kwa kulenga kuweka mazingira ya utendakazi wa hali ya juu kwa wachezaji na wafanyikazi. Mradi huo wa pauni milioni 50 utasababisha maeneo yote ya jengo hilo kufanyiwa ukarabati ili kutoa kituo…

Read More