Dk Mwigulu atamani nembo ya Yanga kwenye noti ya Sh100

Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema kwa mafanikio ambayo timu ya Yanga imeyapata anatamani kumshauri Gavana wa Benki Kuu (BoT) kuweka nembo ya klabu hiyo kama kungekuwa na noti ya Sh100 kuyaenzi mafanikio hayo. Dk Mwigulu ametumia sehemu ya hotuba yake ya uwasilishaji wa Bajeti ya Serikali 2024/25 ya Sh49.3 trilioni jana Alhamisi, Juni…

Read More

Aucho aanika mipango yake 2024/25

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Khalid Aucho amesema anautumia muda wake wa mapumziko kuhakikisha anarejea kwenye utimamu wa mwili, ili msimu ujao awe fiti na kufanya makubwa Ligi Kuu Bara. Msimu ulioisha Aucho aliumia goti  mechi ya ugenini ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Al Ahly ya Misri, ambapo alifanyiwa upasuaji mdogo wa goti, kitu kulichomfanya…

Read More

Aussems kushusha vyuma Singida Black Stars

WAKATI Singida Black Stars ikiendelea kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao, uongozi wa timu hiyo umesema umemuachia jukumu Kocha Mkuu Patrick Aussems kuamua nani aingie au kutoka kuhakikisha anafikia malengo ya nafasi nne za juu. Timu hiyo ambayo awali ilifahamika Ihefu ikianzia makao yake Mbarali mkoani Mbeya kabla ya kuhamia mkoani Singida na tayari imebadili…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Simba yalonga na Mohamed Camara

MABOSI wa Simba wameanza mazungumzo ya kumnasa kiungo mkabaji raia wa Guinea, Mohamed Damaro Camara. Damaro anayeichezea Hafia ya Guinea aliyojiunga nayo mwaka 2020 akitokea Milo FC, ameonyesha nia ya kujiunga na Simba jambo linalorahisisha dili la nyota (22) anayecheza pia beki wa kati. KAIMU Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda inadaiwa yupo mbioni kurejea…

Read More

Vijana 30,000 waguswa tamasha Twenz’etu kwa Yesu

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Zaidi ya vijana 30,000 wamebadili maisha yao kupitia tamasha linaloandaliwa kila mwaka na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mashariki na Pwani. Tamasha hilo lijulikanalo kama ‘Twenz’etu kwa Yesu’ lilianza mwaka 2014 limekuwa likiwakutanisha vijana wa dini na madhehebu mbalimbali kutoka Jiji la Dar es Salaam na…

Read More