
NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya kuunga mkono jitihada mbalimbali zinazofanywa na Mamlaka za Serikali za Mitaa (LGAs) katika kuwawezesha na kukuza maendeleo endelevu kwa manufaa ya jamii. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mkurugenzi wa wateja wakubwa na Shughuli za Serikali wa NBC, James Meitaron (pichani) akizungumza kwenye Mkutano Mkuu wa…